Pamoja mkali, nikajua una sapoti ile mtu aende hayo maeneo bila kuwa consciousEti sijakaa na magoon wakati mi mwenyewe goon.Wewe hujanielewa,nimezungumzia discipline kwenye kujiwekea mipaka.Na wewe mpaka kwenda kijiwe cha wala unga unatafuta nini,na aliyekwambia kila mtu anavutia bange maskani nani.
Hahah pole mzee I wish ningekurushia kwenye pm,nna kitu cha swazi hapa nakivutia kasi muda simrefu nkilipuedaah.. kuna boya kaja maskan hapa kazibeba zote,,,... nilijua zimebak kumbe hakuna kitu... hawa bodaboda wa huku wapuuzi tu wanajua gesti tu haya makinikia hawayajui.. ngoja nitulie kesho ntapata tu
hahaha.. kitu kimekauka.....! huu mmea jamani uruhusiwe tu watu tujiachie kwa amaniHahah pole mzee I wish ningekurushia kwenye pm,nna kitu cha swazi hapa nakivutia kasi muda simrefu nkilipue
Hapana kaka.mi nmeacha kununua/kuvutia maskani kitambo sana,nanunua kwa trusted suplier,au nafuata mkoa.natumia nyumbani privately pekeangu au pamoja na marafiki.Pamoja mkali, nikajua una sapoti ile mtu aende hayo maeneo bila kuwa conscious
Very soon,ila kutumia kiwiziwizi nako kuna raha yakehahaha.. kitu kimekauka.....! huu mmea jamani uruhusiwe tu watu tujiachie kwa amani
Very soon,ila kutumia kiwiziwizi nako kuna raha yake
Mkuu ndugu bange sio dawwa za kulevya ila ni dawa za kuchangamsha!JF hatufagilii matumizi ya madawa ya kulevyaa!!
Mie mwenyewe sinywi,ila ulianza mapema sana mzee baba.hii kitu nimeianza tangia nipo darasa la 4... mwendo wa kujilipua.. wauni wananishangaa jamaa mbona unajilipua na weed alaf pombe unywi... nikasema hii kitu haina side effects.. kuliko hayo mapombe yenu
Na mimi namshangaa sababu Sijawahi kulewa baada ya kuvuta wala kupepesuka,sasa sjui ulevyaji wake uko wapi.Mkuu ndugu bange sio dawwa za kulevya ila ni dawa za kuchangamsha!
No truth - lucky dubetupieni ngoma mnazopenda kusikiliza mkiwa mnapata dawa mazee
ah.. mie huwa nawasikiliza lunduno.....tupieni ngoma mnazopenda kusikiliza mkiwa mnapata dawa mazee
hahah... mapema sana... alaf mie ukinikuta KITAA... mie ni MTAKATIFU... dah basi nilikuwa nawa enjoy wazee wangu ile mbaya... walikuwa wananiona mtu mmoja boya boya... kumbe ndani nina mapuri kama 1000 ya weedMie mwenyewe sinywi,ila ulianza mapema sana mzee baba.
Hahah,mi pia ukiniona sifananii kabisa na stereotype ya wavuta bangi,lakini mpaka kuilima nishawahi ilima na nkaivuna.hahah... mapema sana... alaf mie ukinikuta KITAA... mie ni MTAKATIFU... dah basi nilikuwa nawa enjoy wazee wangu ile mbaya... walikuwa wananiona mtu mmoja boya boya... kumbe ndani nina mapuri kama 1000 ya weed
blunt joint hahaha umenikumbusha kipindi naanza kuchoma mjani na wakuda flani hivi wa majuu ni hatareeeTanzania wengi tunavuta shabu,substandard ganja a.k.areggie.bangi miti kibao,vumbi humohumo,mimbegu humohumo,bangi yenyewe imechumwa kabla haijakomaa vizuri wala kukaushwa kitaalamu,nyengine zimelowekwa gongo na mafuta ya taa,ndo maana wengine wanawehuka.bangi unauziwa jelo tena mjini unategemea itakuwa na ubora wa maana?.
Ganja nzuri/high grade huwa haina mbegu nyingi na iliyo bora zaidi inakuwa haina mbegu kabisa(bubu/unpolinated female plant),inakuwa inanukia harufu fulani hivi amazing,inakuwa na nta ya kutosha inanata nata,ukivuta humalizi joint/blunt nzima kwa mkupuo,na lazima ukohoe kidogo.