Wavutaji wote hapa

Sijawahi kuona mwanamke mrahisi KUPIGA kama mla msuba.

Na akichanganya msuba na Pombe ndiyo hatari zaidi. Unamsukuma tu.
 
sasa huu uyoga ukipatikana tunaukausha alafu tunamix na bangi tunavuta tuone kama hatujagundua hata sayari mpya
 
Nlifikia adi kula mboga yak ila thnk to God mwak wa 5 sas sigus,,, ila ina kaaruf kazur
 
Alafu mr qns wewe! unaleta utani watu tupo siriaz! nakupa kazi ya kutafuta bangi iliyokaushwa na huu uyoga, ukipata uniletee ntakupa contact zangu inbox
Ukipata nami naomba

Kwani humu ,capachino Mzee wa mawela Vatican hayupo?

Atatue haya matatizo madogo madogo
 
kwahiyo watu tunataka tule magic mushroom tuone mapichapicha hahah i love that,au ndio huo naskiaga wanauita uyoga wanyoka
Shoulda be very careful when experimenting on anything,sio kila kitu cha kujaribu,u dont have to know stimu za kila kilevi.
 
Kama nataka kutulia home na familia napiga mjani wa indica kama lemon cheese skunk,purple haze hapo stimu zake zinanifanya nitulie home na sina mpango na issue yeyote duniani zaidi ya familia yangu,nikitaka mzuka wa kwenda out kujirusha au nikiwa nafanya kazi zangu za maendeleo napiga mjani wa sativa kama durban poison,jamaican bush,african bush.ONE LOVE.
 
Mpaka Muingereza atakapo legalize si unajua ndio mtawala wetu
Muingereza mnafiki tu,karibia suburbs zote za uk kuanzia council estates mpaka kwenye students houses za vyuo vyote weekend mwendo ni madawa ya kulevya yaani bhangi ni ka fegi ni vigumu kupiga hatua hata kumi ujasikia harufu ya bhangi,vitongonji kama Brixton bhannge linanukia kuanzia train station na polisi wanapotezea kwa kuwa hawana njaa na wana mambo ya maana kuliko kukamata watu na starehe zao.
 
Weed smokers wengi wanakuaga wapole sana
Ila nasikia kunako eti wanakuwa mdebwedo, eti ile kitu inawafanya wasipende kunjunja. Kuna jamaa juzi tu alikuwa ananiambia hivyo, hata kwa mkewe hana wivu kabisa, ashawahi kulala na shemeji zake kitanda kimoja for a week bila bila...

Nikajisemea...looooh!!
 
Jombaa, amsha na jani la kule kisiriri au ngarenanyuki chalii angu,… yaani iyo kitu ni noo…… noma sana jombaa, achaaa!
 
No sio.mdebwedo, inakufanya uwe na kiwango cha juu cha ustaarabu.. Heshima na Adabu... Ila kunako sixbysix usije kuomba kukutana na mvutaji kama hauwezi kukesha, ulizia kwa wanaowajua, hao wanaokuwa mdebwedo wanakua wamevhanganya na mengineyo
 
Durban poison inaamsha balaa,kuna ile wanaita moon rock,sour diesel na girl scout cookies nazo ziko poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…