Ole wako.Naomba nijizuie kuchangia kwenye hii thread...
Kitu cha kutoka nchi ya mfalme mswati hicho.
Naomba nijizuie kuchangia kwenye hii thread...
Acheni uoga wakuu, jiachieni.maisha ndo hayahaya,msikubali babylon system iwafanye muwe wanyonge.Acha nipitege kimya kimya. 😀😀😀😀
Na wewe ni mtu mwerevu sana,unayetukana watu usiowajua kwa sababu zisizokuwa na msingi,ila kwa sababu sie ni watu wa amani na upendo hatuna haja ya kukujibu vibaya,tukafanana na wewe.ninyi ni watu wapumbavu duniani
orkokolaa ipo pande kwa hapa chuga mkuu....Kitu cha orkokolaa chuga ni kikalii waku ukipiga resi mbili uko high!
Yah man nilikionja resi kazaa nikakikubali arif kitu ni vichwa tupu moshi mwepesi kikali kinyama manorkokolaa ipo pande kwa hapa chuga mkuu....
Mpumbavu mwenyeweninyi ni watu wapumbavu duniani
naomba unielekeze nitakipata wapi mkuu...nipo chugaYah man nilikionja resi kazaa nikakikubali arif kitu ni vichwa tupu moshi mwepesi kikali kinyama man
njoo pmnaomba unielekeze nitakipata wapi mkuu...nipo chuga