clean, hii hii ya moro au?Uzi umepoa sana huu,mzigo huo wazee , umelimwa hapahapa Tanzania.View attachment 1009631
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa nani amekwambia tunatumia madawa ya kulevya?!JF hatufagilii matumizi ya madawa ya kulevyaa!!
Hapana mkuu.mbegu zimetoka huko kwa mababeru ,ila imelimwa hapahapa. kaskazini mwa nchi.clean, hii hii ya moro au?
Sent using Sukhoi Su-57
Safi, iko kama skunk hiviHapana mkuu.mbegu zimetoka huko kwa mababeru ,ila imelimwa hapahapa. kaskazini mwa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.hii inaitwa lemon haze.Safi, iko kama skunk hivi
Sent using Sukhoi Su-57
Kush Live it Love it.Dont diss it before you taste it
Wema sepede kichwa ake ndogo anaeza pata Malaria aseeh.!!Muiteni na Wema Sepetu.
Such a beautiful ting mamiloo,,Hii thread sikuwahi kuiona kabisa.
Jani wacha liitwe jani[emoji119][emoji119]
Relax,hii ni kwajili yako,uwe na wikiend njemaHii thread sikuwahi kuiona kabisa.
Jani wacha liitwe jani[emoji119][emoji119]
Wema anakula ganja kuliko weww arif,tena highgrade shitWema sepede kichwa ake ndogo anaeza pata Malaria aseeh.!!
Khaa..!!Unajua Gombalee nalokulaga mie Dingilai!!Naagizaga Kitu OG kutoka Kingstone Janimaica Dingiangu aseeh.!!
Yechu yechu.nakuaminia arifu,wavutaji wa fasi ya chugastan nawaheshimu na sina shaka na wewe,ila huyo dadalai nishamdekeree mwenyewe,anakula ile jani ya kushato,yule sio kichwa cha panzi chalii yanguKhaa..!!Unajua Gombalee nalokulaga mie Dingilai!!Naagizaga Kitu OG kutoka Kingstone Janimaica Dingiangu aseeh.!!