Wavutaji wote hapa

Asee kuna siku majani yake nimeyasaga yakawa kama unga..Nikanunua na dagaa na Konyagi,,Zile dagaa nikaziweka kwenye sufuria then nikamimina konyagi itumike kama maji na mafuta pia,,Nikaweka na unga wake nikasubili kitu kiive,nikasonga na nguna angu pale fiade mambo yakawa wiu wiu..
 

Attachments

  • bange.JPG
    34.3 KB · Views: 22
Khaa..!!Unajua Gombalee nalokulaga mie Dingilai!!Naagizaga Kitu OG kutoka Kingstone Janimaica Dingiangu aseeh.!!
Yechu yechu.nakuaminia arifu,wavutaji wa fasi ya chugastan nawaheshimu na sina shaka na wewe,ila huyo dadalai nishamdekeree mwenyewe,anakula ile jani ya kushato,yule sio kichwa cha panzi chalii yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…