Wavutaji wote hapa

Alafu ni dawa kwa wenye presha ya kupanda au kwa wale wazee wa kimoja chali
Dah mimi mazee weed ndo imenipunguzia nguvu za kiume mazee.

Yani sina arosto na kumer tena nina arosto na weed.
Dem anaweza akasema aje, nikampiga stop ili niende kumoka na wana
 
Ni dawa ya vitu vingi sana,mpaka kwenye dawa tiba inatupiwa
 
Hahah Naomba location wa supplier wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…