Wavuti wa TANROADS utabadilisha lini taarifa?

Nsibwene

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2017
Posts
227
Reaction score
160
Kuna mikataba mipya mingi imesainiwa, na vile vile kuna barabara mpya zimejengwa, na tunasikia urefu wa barabara zinazoitwa "trunk roads" zimeongezeka.

Swali watabadilisha lini ramani yao inaonesha trunk roads hizo; watabadilisha lini procurement zilizopita au kukamilika kwenye wavuti yao n.k?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…