Wavutia Wanapendeza Kweli

Wavutia Wanapendeza Kweli

Ilulu

Senior Member
Joined
Mar 22, 2008
Posts
161
Reaction score
31
Mary_J-Blige_Miami_Jazz_Festival.pnglindsay_lohan_melanie_b_peep_show4.jpglindsay_lohan_melanie_b_peep_show2.jpgkim-k-maxim-100-party-2.jpgHalle_Berry_Bookstore_Lunch_rue4.jpgBeyonce_Macy_Launch_heat3.jpgbeyonce_bloomingdales_mama_knowles3.jpgbeyonce_bloomingdales_mama_knowles.jpgAmber_Rose_Guys_Dolls.jpgRihanna_Echo_Awards_Green_Pantsuit.jpg
 
Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!
 
Umeishapitia huko? hata miye namjua Mariam

Mkuu wako wawili pale kwa Mzee Mwinyi, nyumba imeangaliana na Mama Ntilie. Halafu ukipandisha kidogo kama unaelekea uzuri yupo Mariamu mwingine, maji ya kunde na mrefu kiasi - huyo ndiye ninayemzungumzia hapa
 
Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!

Mariam wako mwenyewe hapaki poda wala nini lakini yuko bomba, wenzie hapo wamejifanyia makorombwezo mpaka wametia akili ndo wametoka hivo.............
 
Mkuu wako wawili pale kwa Mzee Mwinyi, nyumba imeangaliana na Mama Ntilie. Halafu ukipandisha kidogo kama unaelekea uzuri yupo Mariamu mwingine, maji ya kunde na mrefu kiasi - huyo ndiye ninayemzungumzia hapa

Ninaye sema mimi rangi yake ni damu ya mzee na mrefu kiasi, Medium size na akitembea ni kama Nguva ndani ya bahari huyu anakaa karibu zaidi na Uzuri! Tusije gonganisha Bajaj
 
Ninaye sema mimi rangi yake ni damu ya mzee na mrefu kiasi, Medium size na akitembea ni kama Nguva ndani ya bahari huyu anakaa karibu zaidi na Uzuri! Tusije gonganisha Bajaj

Dah! kamanda unazigonga kama Messi.
 
Chrispin usimsifie Masanilo!!!!!!!!! Kijana anahatari... Kwanza Masanilo Anakaa Mwenge Temeke anafata nini?
 
Ninaye sema mimi rangi yake ni damu ya mzee na mrefu kiasi, Medium size na akitembea ni kama Nguva ndani ya bahari huyu anakaa karibu zaidi na Uzuri! Tusije gonganisha Bajaj

Masanilo punguza mashamsham, unafanya kweli au unabipu?
 
Sijui ni macho yangu ya "kizee", maana hapo sioni anayemfikia Mariamu wa Tandale kwa Tumbo!

Yaani cosmetics kiba na karibia wote wamewekewa maplastic kwenye miili yao; I mean wachina wa kimarekani wamepita hapao! aaaaarghhhhhhhh!
 
Back
Top Bottom