johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Mifugo Mhe. Mpina ameruhusu matumizi ya genereta na taa za sola wakati wa uvuvi hadi tarehe 01/01/2021 serikali itakapokuwa imefanya utafiti na itatoa maamuzi
Awali matumizi ya jenereta na taa za sola yalikuwa yamepigwa marufuku ili kulinda viumbe wa baharini.
Chanzo: Star tv habari!
Awali matumizi ya jenereta na taa za sola yalikuwa yamepigwa marufuku ili kulinda viumbe wa baharini.
Chanzo: Star tv habari!