Wavuvi Kigoma waonja hasira ya M23

Wavuvi Kigoma waonja hasira ya M23

Status
Not open for further replies.

Salas

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2009
Posts
382
Reaction score
82
Zaidi ya wavuvi 30 wamevamia usiku wa kuamkia leo na kuibiwa mafuta na engine za boat na vifaa vya vingine vya boat na watu wanaosadikika kuwa wanajeshi wa M23 kutokana na mavazi na silaha walizokuwa nazo, hali hii ilikuwa imekwisha mara baada ya mapigano goma mambo kwa wananchi yanabadilika.

Wito:Jeshi lianze doria kwenye ziwa Tanganyika mara moja kwani hali ni ya hatari.
 
Duh, kumbe M23 wababe? Yaani wanasubutu kuja kuiba Tanzania?
 
Ezekiel Kamwanga aliandika katika Raia Mwema ya wiki iliyopita kuwa ' yule uko na bunduki hawezi lima'
 
Ukiona mawingu lazima ujue....
 
Zaidi ya wavuvi 30 wamevamia usiku wa kuamkia leo na kuibiwa mafuta na engine za boat na vifaa vya vingine vya boat na watu wanaosadikika kuwa wanajeshi wa M23 kutokana na mavazi na silaha walizokuwa nazo, hali hii ilikuwa imekwisha mara baada ya mapigano goma mambo kwa wananchi yanabadilika.

Wito:Jeshi lianze doria kwenye ziwa Tanganyika mara moja kwani hali ni ya hatari.

Kama wewe sio pandikizi, basi hata jiografia na unachokisema haviendani...!
 
Kama wewe sio pandikizi, basi hata jiografia na unachokisema haviendani...!

Subiri ikilipuliwa mv liemba ndio utapata akili, kwani ubishi na ujinga wa watawala unagharimu wasio na hatia!
 
Subiri ikilipuliwa mv liemba ndio utapata akili, kwani ubishi na ujinga wa watawala unagharimu wasio na hatia!

Acha porojo bana......visa vya uporaji ziwa Tanganyika viko muda mrefu na hatua mbali mbali huwa zinachukuliwa
 
Acha porojo
bana......visa vya uporaji ziwa Tanganyika viko muda mrefu na hatua
mbali mbali huwa zinachukuliwa

Muda ukifika ukweli utakuwa wazi, vuta subira kwani tunachotaka doria iongezwe ziwa Tanganyika hata ikiwezekana MUNUSCO watoe meli za doria.
 
Muda ukifika ukweli utakuwa wazi, vuta subira kwani tunachotaka doria iongezwe ziwa Tanganyika hata ikiwezekana MUNUSCO watoe meli za doria.

Embu tumia google earth angalia position ya Ziwa Tanganyika lilipo, then angalia North Kivu iko wapi. Realistically, it doesn't hold water kusema hao banyamulenge wako Ziwa Tanganyika
 
Inawezeka hata wakawa majambazi ya kawaida tu maana hizo sare za jeshi sio polisi sio JWTZ sio dili tena. Leo watu wameiba wakiwa wamevaa kipolisi. Haya na wao ni nani?
 
Acha porojo bana......visa vya uporaji ziwa Tanganyika viko muda mrefu na hatua mbali mbali huwa zinachukuliwa
mshikaji kachemka alitaka kufanya hii kuwa news , kigoma ni karibu kila mara haya matukio na ndiyo maana serikali ilishauri wawe wanaenda kuvua kwa pamoja na wasisambae sana na wakati huo huo jeshi na polisi wakifanya patrol gezini(katikati ya maji)
 
Embu tumia google earth angalia position ya Ziwa Tanganyika lilipo, then angalia North Kivu iko wapi. Realistically, it doesn't hold water kusema hao banyamulenge wako Ziwa Tanganyika

Mkuu,

Wengi wanachojua kwa sasa ni M23. Hawajui makundi ya uasi yaliyoko Congo ni mengi kiasi gani na yapo wapi: North na South Kivu kwao vyote sawa. Hawajui makundi yapi yamekuwa South na aina ya uasi wao dhidi ya serikali ya Kinshasa-in short, idiologies zao ni zipi. Hapa wachangiaji wengi mihemuko tu ya uzalendo wasiokuwanao viongozi wao....
 
Zaidi ya wavuvi 30 wamevamia usiku wa kuamkia leo na kuibiwa mafuta na engine za boat na vifaa vya vingine vya boat na watu wanaosadikika kuwa wanajeshi wa M23 kutokana na mavazi na silaha walizokuwa nazo, hali hii ilikuwa imekwisha mara baada ya mapigano goma mambo kwa wananchi yanabadilika.

Wito:Jeshi lianze doria kwenye ziwa Tanganyika mara moja kwani hali ni ya hatari.

Wewe ulifeli jiografia. Angalia ramani yako ya East Africa uangalie eneo linaoshikiliwa na M23 na uangalie na ziwa tanganyika iko wapi. Mjinga kweli wewe. Unamaanisha M23 wamevuka rwanda, wakavuka Burundi wakaingia ziwa tanganyika. vikosi vya usalama vya nchi zote hizo vilikuwa vimelala. Kweli iko kazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom