Wavuvi kuna swali hapa naombeni majibu yenu

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
Heri ya mwaka mpya .

Leo katika pita pita zangu mitandaoni nilikuwa naangalia mambo ya uvuvi swali langu Kwa wavuvi kwanini wazungu akishika wavu akarusha kwenye mto,ziwa ,bahari huya anatoka wavu ukiwa na samaki kama mchanga

Lakini wavuvi wa kibongo anaweza kutupa wavu akitoka ni samaki hata kumi hawafiki shida Huwa nini na wavu ni ule ule au nikusema sisi tumevua mbaka wameisha??
 
Kwa kawaida wanawake wa kiswahili wengi wanaoneka wana matako makubwa, unadhani wazubgu wenye matako makubwa hawapo?
Kwahiyo wewe kuona video ya Mzungu akitupa wavu na kutoka na samaki hiyo haina maana kwamba wazungu kila wakirusha wavu lazima wapate samaki kama mchanga.
 
Mkuu Udart achana na uvuvi hao panya wa kwenye avatar wanakutosha.
 
Mkuu Udart achana na uvuvi hao panya wa kwenye avatar wanakutosha.
 
Inaitwa cast net hiyo nyavu ya kurusha,kuna baadhi ya nchi hawaruhusu hizo nyavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…