Wawakilishi wa Kaunti ya Nakuru watwangana makonde

Wawakilishi wa Kaunti ya Nakuru watwangana makonde

 
Last edited by a moderator:
Watoto na waswahili ndo wanapigana. Watu wazima wana "gentleman's agreement"

This shows how uncivilized they are.
 
11043241_10153204582346663_38795175998316466_n.jpg


10930901_10153204582391663_5204336913528377761_n.jpg



 
Daaaahhh hii ni kali aiseeeh Tz yetu haijafikia hapo ni aibu aisee.
Hahahaaaaa
 
Daaaahhh hii ni kali aiseeeh Tz yetu haijafikia hapo ni aibu aisee.
Hahahaaaaa

Mtafika tu!! hizo kashfa za sijui TANAPA, Richmond n.k. halafu watu wanakua na jeuri ya kusema eti milioni kumi pesa za mboga tu. Unafikiria watu hufikia katika hali hii kivipi.
 
Hahaahhahhahaaaaa ndio democracy sio ulete upuuzi wako halafu useme kuna democracy
 
Mtafika tu!! hizo kashfa za sijui TANAPA, Richmond n.k. halafu watu wanakua na jeuri ya kusema eti milioni kumi pesa za mboga tu. Unafikiria watu hufikia katika hali hii kivipi.

Hatutafikia hiyo extent yakulazana chini nakukwidana mashati mpaka mabukta na mavitambi yanaonekana we Tanzanians know how to control our rages in a civil way.
 
Hatutafikia hiyo extent yakulazana chini nakukwidana mashati mpaka mabukta na mavitambi yanaonekana we Tanzanians know how to control our rages in a civil way.

Wewe unafikiria watu hufika hapa kwa kupenda, nakumbuka nikisoma taarifa jinsi mlitwangana kwenye chaguzi za mitaa. Hivyo ndivyo huwa, yaani kura zinahesabiwa halafu watu wanacheza michezo michafu na kutangaza mtu asiye.
Hii michezo huwa mnachezewa sana huko.
Kama hujaskia vijana wanateka vituo vya kupigia kura na kuhakikisha kila kura inahesabiwa moja baada ya nyingine, basi huna lolote.
 
Yah kutwangana kupogo kila sehemu ndo mana nyie kwenye uchaguzi wenu walitokea hadi kina mungiki but mimi naongelea kupigana kwenye bunge tukufu au mabaraza ya wawakilishi kufikia hadi hatua yakulaza chini hivo nakumwagiana maji aiseee wakenya mmeshinda MK254.
 
Last edited by a moderator:
Yah kutwangana kupogo kila sehemu ndo mana nyie kwenye uchaguzi wenu walitokea hadi kina mungiki but mimi naongelea kupigana kwenye bunge tukufu au mabaraza ya wawakilishi kufikia hadi hatua yakulaza chini hivo nakumwagiana maji aiseee wakenya mmeshinda@MK254.

Kwanza ya bunge ndio huwa bora, nyie wapinzani wenu waoga eti wanatoka nje kama hawajaipenda hoja halafu CCM wanafurahia na kupitisha bila pingamizi. Kwetu huwa kinaeleweka, ngumi kwenda mbele hadi heshima inadumu.
 
Kwanza ya bunge ndio huwa bora, nyie wapinzani wenu waoga eti wanatoka nje kama hawajaipenda hoja halafu CCM wanafurahia na kupitisha bila pingamizi. Kwetu huwa kinaeleweka, ngumi kwenda mbele hadi heshima inadumu.

Weeeeh embu nipe mfano wa kitu kilichopitishwa bungeni na ccm wapinzani walivyotoka huwa hawatoki kichwa kichwa aisee huwa wanajua wakitoka hakuna kitakacho endelea cha maana.
Kwa ile ishu ya escrow walitoka lakini kesho yake walikuja kuombwa kurudi na ccm wakarudi na maadhimio yote waliyokuwa wanayataka wapinzani yalipita.
Kwa ishu ya katiba pendekezwa wapinzani walitoka walivyoona katiba haitawafaidisha wananchi na ts obvious kwa wananchi kwetu haitapita so sisi huwa tuna solve differences zetu kwa maelewano siyo kwa makonde kama nyie:sly:.
 
Back
Top Bottom