Wawekezaji wa ndani mpo?

MamaEE

Member
Joined
Jun 2, 2011
Posts
99
Reaction score
58
Natafuta wawekezaji wa ndani (aka WaTanzania) ili kuunganisha nguvu na kuanza miradi ya ukweli. Hili linawezekana maana tayari kuna mambo mazuri yanaendelea chini ya uongozi wa Malila na wengineo. Nafikiri tukipata watu kama 20 wenye kubobea kwenye sector tofauti na kiwango cha uwekezaji iwe $10,000 - $100,000 kila mtu, tutakuwa na pazuri pa kuanzia. Sio lazima ujibu hapa unaweza kunipm pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…