Wawekezaji waikimbia Kenya kwa kasi inayoridhisha

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Kenya inazidi kunoga katika rank ya failed states ulimwenguni, katika hali ambayo Kenya inatajwa kwamba ni kati ya nchi 10 duniani zinazoongoza kwa ombwe kubwa la majobless wasio na uhakika wa kesho yao mpaka kupelekea wengi wao kuwa watumwa uarabuni huku wakipitia unyanyasaji wa kutisha kabisa, bado hata kile kidogo walichonacho na chenyewe kinaota mbawa

Ufisadi wa kutisha nayo ni moja kati ya vikorombwezo vinavyoinogesha failed Kenya, Eeh Mungu saidia wanao! Kenya tayari ni mfupa lakini bado kuna fisi zinaugombania

Where's your education?
Where's your democracy?
Where's your capitalism?

Shithole at it's epic
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
AKAULIZA LILE DENI TUMELIPA?
NA TUMEKOPA ZINGINE CHINA,
TUMEJENGA RELI PIA BARABARA,
ZILIZOBAKI WATU WAKASANYA,
SO TUJIANGALIE, TUPO PABAYA LEO KULIKO JANA,
TUSIPOZIBA NYUFA TUTAJENGA KUTA, TUFANYE YETU TUNGALI VIJANA..

Nadhani ni hivo, ni nyimbo ya SAUTI SOL vs NYANSHISKI wameimba hawa jamaa.. [emoji110]
 
Majirani wapo kwenye wakati mgumu sana...

Waje watulambe miguu tuwasaidie, hawajui kama sisi tushakua Donor country...


Cc: mahondaw
 
Sisi ni LMDC
Nakumbuka wimbo wa jogoo la shamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…