HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
Maeneo mengi nasoma juu ya hali ngumu kwa wawekezaji, mara hali mbaya kiuchumi, usalama nk
Hebu naombeni tuweke vivid examples za makampuni/wawekezaji walioamua kuondoka TZ na ku relocate maeneo mengine nje ya Tz kutokana na hali ya nchi kwa sasa in geneal ndani ya miaka 3 ya JPM
Vilevile ni wawekezaji wapi wapya wamekuja baada ya JPM kuingia madarakani
Hebu naombeni tuweke vivid examples za makampuni/wawekezaji walioamua kuondoka TZ na ku relocate maeneo mengine nje ya Tz kutokana na hali ya nchi kwa sasa in geneal ndani ya miaka 3 ya JPM
Vilevile ni wawekezaji wapi wapya wamekuja baada ya JPM kuingia madarakani