HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,554
Ni nani aliekimbia nchi kwa kisanga hicho??Hakuna Cha Hali ngumu Wala Nini, wanagoma kulipa kodi halali.
Ameuza hisa zake za vodacom, lakini ni kutaka kuwekeza sehemu nyingine tofaut na tz??Rostam Aziz nasikia amehamia kenya
Ni makampuni au wawekezaji wa level zipi? Kuna definitions nyumbulishi za maana ya mwekezaji zimetolewa ktk awamu hii. Mfano, ukiwa na cherehani 4 wewe ni mwekezaji kamili sekta viwanda. Je, katika levels kama hizi unafikiri ni rahisi kuwajua wote. Pili, ukienda mji kama Tunduma utapata picha kamili hasahasa ukivuka ng'ambo ya Zambia ( Mbala, Mpulungu, Lusaka nk.), Hali kadhalika, ukifika Mtukula, au Sirari na maeneo kama Namanga,waweza pata data hizi, hasa inflow na outflow ya wafanyabiashara na wawekezaji wadogowadogo.Maeneo mengi nasoma juu ya hali ngumu kwa wawekezaji, mara hali mbaya kiuchumi, usalama nk
Hebu naombeni tuweke vivid examples za makampuni/wawekezaji walioamua kuondoka TZ na ku relocate maeneo mengine nje ya Tz kutokana na hali ya nchi kwa sasa in geneal ndani ya miaka 3 ya JPM
Vilevile ni wawekezaji wapi wapya wamekuja baada ya JPM kuingia madarakani
Wale ambao ni notable, hatuwez sema cherahani nne ni kiwanda kwa kweli, lakini walau vile vyenye uwezo wa kuajiri watu wasipungua 50, kuanzia viwanda vidogo hadi vikubwaNi makampuni au wawekezaji wa level zipi? Kuna definitions nyumbulishi za maana ya mwekezaji zimetolewa ktk awamu hii. Mfano, ukiwa na cherehani 4 wewe ni mwekezaji kamili sekta viwanda. Je, katika levels kama hizi unafikiri ni rahisi kuwajua wote. Pili, ukienda mji kama Tunduma utapata picha kamili hasahasa ukivuka ng'ambo ya Zambia ( Mbala, Mpulungu, Lusaka nk.), Hali kadhalika, ukifika Mtukula, au Sirari na maeneo kama Namanga,waweza pata data hizi, hasa inflow na outflow ya wafanyabiashara na wawekezaji wadogowadogo.
Sijui kwanini watumiaj wengi wa Jf wana lugha kali sana na matusiHuwezi pewa jibu zaidi ya matusi
Huu mzigo sijauelewa kwa kweli, ufafanuzi kidogo[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 940749
Yaani policies za magu hazifanyi kazi, ili zifanye kazi hao ng'ombe inatakiwa wageuke nyuma walime,instead wanamshangaa tu, nahis hao ng'ombe sjui ni sisi[emoji22][emoji22]Huu mzigo sijauelewa kwa kweli, ufafanuzi kidogo
DraftMaeneo mengi nasoma juu ya hali ngumu kwa wawekezaji, mara hali mbaya kiuchumi, usalama nk
Hebu naombeni tuweke vivid examples za makampuni/wawekezaji walioamua kuondoka TZ na ku relocate maeneo mengine nje ya Tz kutokana na hali ya nchi kwa sasa in geneal ndani ya miaka 3 ya JPM
Vilevile ni wawekezaji wapi wapya wamekuja baada ya JPM kuingia madarakani
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Yaani policies za magu hazifanyi kazi, ili zifanye kazi hao ng'ombe inatakiwa wageuke nyuma walime,instead wanamshangaa tu, nahis hao ng'ombe sjui ni sisi[emoji22][emoji22]
Hapa draft linachezwa na mtu mmoja.
Lakini c ana washauri???[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Asante mkuu, Hatutaki kuwa manyumbu nahatugeuki ngh'ooo ,maana huyu Jamaa ni kisanga.
Yaani anajila, opponent ni yy mwenyeweHapa draft linachezwa na mtu mmoja.
Kuna mengi hapo, washauri yawezekana pia wakawa ndo hao hao waochezea mijeredi kulazimishwa wafuate muelekeo Wa mshika mjerediLakini c ana washauri???
Mmeweka sheria ya Takwimu inayo tutakataza kusema, je atakae weka hapa hizi takwimu hapa hamta wafunga?Sijui kwanini watumiaj wengi wa Jf wana lugha kali sana na matusi
Mengi yanazungumzwa juu ya hawa wawekezaji lakini hatuwajui,unaskia tu wawekezaj sjui wanakimbia