Wawekezaji waliokimbia au walioingia nchini ndani ya miaka 3 ya Magufuli

Mmeweka sheria ya Takwimu inayo tutakataza kusema, je atakae weka hapa hizi takwimu hapa hamta wafunga?
Hii sio takwim, ni kusema flani alikuepo ila kaondoka, flani ni muwekezaji mpya kaja, basi
 
Duh hakuna hata mmoja aliyetaja, Wabongo ni noma! Ila utawaskia wawekezaj wanakimbia, haya watajeni sasa
Na mm ndicho nachotaka, maana naskia wanakimbia, tukipeana mifano halisi italeta maana zaidi
 
asante home shopping center kwa kuunogesha huu uzi.

kuna wale jamaa wa kampuni ya mafuta jina nimelisahau hawapo nchini kiuwekezaji.

tembelea migodini ili upatejibu kamili la maswali yako
 
asante home shopping center kwa kuunogesha huu uzi.

kuna wale jamaa wa kampuni ya mafuta jina nimelisahau hawapo nchini kiuwekezaji.

tembelea migodini ili upatejibu kamili la maswali yako
Home shopping center wanaondoka??? Hilo jina la hyo kampuni nakuomba litafte
 
Wale ambao ni notable, hatuwez sema cherahani nne ni kiwanda kwa kweli, lakini walau vile vyenye uwezo wa kuajiri watu wasipungua 50, kuanzia viwanda vidogo hadi vikubwa
Waziri alisema, cherehani 4 ni kiwanda; so, which fact should be trusted, yours or the ministerial hiphop?
 
asante home shopping center kwa kuunogesha huu uzi.

kuna wale jamaa wa kampuni ya mafuta jina nimelisahau hawapo nchini kiuwekezaji.

tembelea migodini ili upatejibu kamili la maswali yako
Home shopping mbona wapo bado! Hebu kuwa serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…