Nickson Maganya
New Member
- Oct 27, 2011
- 4
- 1
Mimi nafikiri ukishajua kuwa wewe unampenda fulani basi inatosha. Maana hicho ndicho kitu pekee ambacho una uhakika na cho, akikupenda in return shukuru Mungu na asipokupenda vile vile shukuru Mungu; ila mara nyingi upendo wa kweli una nguvu sana so unaweza ukapendwa na wewe pia.