Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
- Thread starter
-
- #201
Hapo tupo pamoja mkuu1.Stimu Zimelipiwa
2.Ufalme
3.Chochote Popote
Bonus Track
-Muda
-Manuva
-Zamu Yangu.
Hizi ndio ngoma zangu kali za Muda wote toka kwa Mwamba
Wee endelea kusikiliza singeli zako bhana.Nyimbo mbaya tu. Wanatumia hela nyingi kushoot video.
Ukiuliza atakwambia katumia milion 20. Wakati kwa wimbo huo alistahiri kutumia milioni mbili.
Acha masihara.....wiki 1 tuuu inaisha...naona kataka nae kujfanya darasaHii ngoma naipa wiki 2 hutaisikia tena
Hahaha unajia aibu.BASI HUJUI MUZIKI BORA UKAE KIMYA,WIMBO ULIOMUWEKA KWENYE RAMANI YA MUZIKI MPAKA AKAWA GUMZO NI STIMU ZIMELIPIWA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kimekuja na meli hicho , so eskyuuuuz him [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyu jamaa ana english ya mwendo kasi hatari.... "ekskyuuuuz mi ken ai get yua namba.... Ama gona lachya"
Hata mimi nimeliona hiloJF kuna tabia moja yani wachangiaji wakwanza wakianza kuponda basi ni kuponda mwanzo mwisho
clouds xxl mbona waliifurahia na kupiga kelele sana?Mmemuandama sana homeboy lately, so imebidi niutafute huo wimbo na kuuskiliza. Frankly, it's a let down from Joh. Ngoma ina hook mbaya in every sense, nani alimshauri kuwa anajua kuimba?? Na kikristo sasa babaa, ni aibu arif. Binafsi ningemshauri afute hook, na kuirudia upya kabisa. Aliyetayarisha hii ngoma, hastahili kabisa kujiita mtayarishaji.
"Excuse miss,......I'ma gonna "???. C'mon bro! Learn the language first, then you can learn talkin' slick and what not.
Yawezekana wewe ni mgeni au sio mbobezi wa maswala ya promotion na PR! au hujui ni kwa kiasi gani mlaji wa bidhaa Fulani hulazimishwa kuila hata kama huduma ni mbaya. Mfano mdogo tu, unadhani watu hawajui madhara ya mkorogo lakini kwa kuwa wanaaminishwa na matangazo kuwa uzuri au urembo ni weupe wanapigana vijembe kujibadilisha ngozi?...ukifatilia muziki hasa wa bongo flavor kuna nyimbo nyingi zina hit si kwa ubora wake Bali promotion yake. Na huu ndio ukweli ambao baadhi ya mashabiti wa mwamba wa kaskazi hatutaki kuamini kuwa wimbo huu ni MBOVU tena Mbovu mno, tutategemea promo ili uhit.bila "upendeleo maalumu" hauwezi kutrend hatawiki moja toka ameuachiaUnataka kuniambia wapenzi wa music ni mbumbumbu na mapoyoyo wanalazimishwa kupenda wimbo mbovu? Zama hivi kuna radio na TV chungu nzima? Ukiona kitu kibaya unauwezo wa kubadilisha Chanel?
Inaitaji akili za kihayawani kuamini watu na akili zao timamu wanalazimishwa kupenda nyimbo mbovu na wanatoa pesa kwenda kwenye matamasha kuburudika na hizo nyimbo mbovu.
clouds xxl mbona waliifurahia na kupiga kelele sana?
Wale ni kawaida yao!clouds xxl mbona waliifurahia na kupiga kelele sana?
Kemosabe habari nyngne itege skio vizurKazingua alivyoimba ni bora angemuweka msanii aimbe kolas kajitahidi mana mshindan wake katóa nyimbo inaitwa nyimbo inaitwa kemosabe aeleweki fid mwisho wa siku kúishia kusifiwa tú na wahun
Mengi yao mabwabwa tuclouds xxl mbona waliifurahia na kupiga kelele sana?
Wee utakua una mimba acha kusingizia wimbo.Ngoma ni mbovu sana,inatia kichefuchefu
lets wait utakavyotrendNimetoa mtazamo wangu binafsi. Pengine kwao wimbo ni mzuri na wameufurahia.