Mkuu akikujibu hili swali nistue .....!!Wanamiliki medias zipi? Ungeainisha watu tungepata cha kuchangia.
Mkuu akikujibu hili swali nistue .....!!
Wanamiliki medias zipi? Ungeainisha watu tungepata cha kuchangia.
Wanamiliki medias zipi? Ungeainisha watu tungepata cha kuchangia.
Print media mfano time magazine, tv mfano cnn,movie studio mfano Warner brothers na utitiri mwingi tu.
mmmhhhh........km hujui medias wanazomiliki wayahudi basi utakuwa na shida fulani. Kwa ushauri we google utpata orodha nzima
mkuu kama unazijua wewe muhabarishe maana tuko wengi tunaosubiri jibu hili. NB: Usiamini sana google as your only source of proof, utalost sana[/QUO
Duuuu.....hili ni jipya kwangu. Sikujua kwamba "your the only source of proof".......Basi ngoja nipite kwanza. Hongera kwa kukwepa kulost
Yaani niki google na kuambiwa owners wa cable news ni wayahudi ntakuwa nimelost.......
Umuhofia Kwenu wana JF!
Hivi ni bahati tu imetokea au ni mpango maalumu wa Zionists kumiliki utitiri wa media? Ikiwa ni mpango maalumu basi Wayahudi wamejipanga vizuri kujua yale binadamu tunayofanya /kusudia kufanya, tunayoyafikiria /waza au tunayoyaamini kupitia TVs, Movies, Network system, na vyombo vya habari kwa ujumla wake.
umenielewa vibaya vibaya, hoja yangu yangu sio kila info utakayoipata google basi ina ukweli,google ni kama kichaka tu kila mtu anaweza akaitumia kuweka info anazotaka, na thats y ukigoogle issue yoyote unaweza pata mitazamo zaidi ya mmojamkuu kama unazijua wewe muhabarishe maana tuko wengi tunaosubiri jibu hili. NB: Usiamini sana google as your only source of proof, utalost sana[/QUO
Duuuu.....hili ni jipya kwangu. Sikujua kwamba "your the only source of proof".......Basi ngoja nipite kwanza. Hongera kwa kukwepa kulost
umenielewa vibaya vibaya, hoja yangu yangu sio kila info utakayoipata google basi ina ukweli,google ni kama kichaka tu kila mtu anaweza akaitumia kuweka info anazotaka, na thats y ukigoogle issue yoyote unaweza pata mitazamo zaidi ya mmoja
Hakuna aliyesema una google kila kitu. Basi umekurupuka pengine ulimaanisha kugoogle kitu kingine. Suala la nani mmiliki wa media fulani ukigoogle sio la mjadala wala la kimtazamo.
Hakuna aliyesema una google kila kitu. Basi umekurupuka pengine ulimaanisha kugoogle kitu kingine. Suala la nani mmiliki wa media fulani ukigoogle sio la mjadala wala la kimtazamo.
hahaa endelea na moyo huo huo, usiku mwema
hahaa endelea na moyo huo huo, usiku mwema
Duu....kumbe hata humu kuna watu na viatu!!!!????/
Hizo zote ulizotaja zipo USA, umejuaje km zinamilikiwa na Waisrael???
Njoo na hoja zenye ushahidi hapo utaeleweka dogo😎
Hakusema wa Israel Bali wayahudi, kwa mfano Robert Mudoch anayemiliki magazeti mengi ulimwenguni na Star TV nk. Hollywood most of the major film companies are owned by Zionist Jews.
Hizo zote ulizotaja zipo USA, umejuaje km zinamilikiwa na Waisrael???
Njoo na hoja zenye ushahidi hapo utaeleweka dogo😎