Everton hawana any say kwenye watapelekwa na Sportpesa. Unless hawataki pesa ya sponsorship.
Sportpesa ingekuwa inaanzisha Somalia, Rooney angeenda huko.
Na hii usalama unaongea kuhusu, the last time uliskia Al Shabaab Nairobi ni lini? Last few months London na Manchester zimeshambuliwa.
Hio ni kusema Kenya iko salama kuliko UK.
We are creating more dollar millionaires than you are angalia shareholders wa sportpesa and how many kenyans it has and when sportpesa was introduced back in 2012,the shareholders now are worth billionsHehe na hizo zimewasaidia nini maskini wakenya mna kampuni nyingi na pia mna maskini weengi atleast tungeona mna maisha tofauti saana na sie tungeona umuhimu wa hayo makampuni wacha sie watuletee burudani
We piga porojo tu create hata malaika ila ndo mna maskini wengi na pia mna idadi kuubwa ya vijana ambao ni ma jobless kwa ukanda huu tena kwa margin ndeefu nyie endeleeni kula kwa machoWe are creating more dollar millionaires than you are angalia shareholders wa sportpesa and how many kenyans it has and when sportpesa was introduced back in 2012,the shareholders now are worth billions
Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
Niliwaambieni sababu ya Everton kucheza Dar ni kutokana na kiwango cha kiwanja hicho pekee kukidhi vigezo wakati Kenya hakuna kilichofikia vigezo.View attachment 541515 hawa majirani zetu hawanaga haya kabisa wivu,wizi.....tabia kama za bata mwenye mimba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliwaambieni sababu ya Everton kucheza Dar ni kutokana na kiwango cha kiwanja hicho pekee kukidhi vigezo wakati Kenya hakuna kilichofikia vigezo.
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app