Wazalendo bado wapo!

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
19,697
Reaction score
15,497
Mkazi mmoja wa wilayani Serengeti amedai kugundua eneo lenye madini aina mbalimbali ambayo anataka kuyakabidhi serikalini ili yachimbwe kwa manufaa ya taifa. Source: ITV HABARI
 
Itakuwa anataka mlabaha huyo si bure
Pamoja na huo mrabaha sijui mnini subiri uone kitakachomkuta. Kama hatatekwa na wasiojulikana ama kupotea katika mazingira yasiyojulikana sijui. Am 60 yrs now and I have sufficient experience ktk nji hii
 
Mkazi mmoja wa wilayani Serengeti amedai kugundua eneo lenye madini aina mbalimbali ambayo anataka kuyakabidhi serikalini ili yachimbwe kwa manufaa ya taifa. Source: ITV HABARI
madini ya aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…