Wazalendo Kama Dk Slaa wakitoweka taifa letu litaibiwa kama shamba la bibi. Leo wapo wapigaji wanalazimisha na kuwaona Watanzania Mapopoma

Wazalendo Kama Dk Slaa wakitoweka taifa letu litaibiwa kama shamba la bibi. Leo wapo wapigaji wanalazimisha na kuwaona Watanzania Mapopoma

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Nani asiyependa uwekezaji wenye tija manufaa kwa taifa lake?

Nikiwahi kuandika humu. Sisi kama Taifa hatuwezi kununua cranes za kisasa kuweza kushusha mizigo kwa wakati na kuongeza ufanisi wa bandari yetu?

Kwa nini iwe ni Dp world na Mkataba usiofaa hata kununulia gari bovu?

Taifa hili linahitaji wazalendo Kama Dk Slaa ambao wapo tayari kufa ili kulinda rasimali za taifa lao.

Kizazi hiki kikitoweka. Itakuwaje?
 
Wahenga walisema "ukimwamsha aliyelala, basi utalala wewe"

Kiburi, majivuno na tamaa ya watawala vimewafanya watanzania wahoji hata mambo ambayo hayakuwahi kuhojiwa huko nyuma. Kiufupi ni kwamba mpaka hili sakata linaisha watanzania wengi upeo wao wa kufikiria mambo hasahasa mikataba ya uwekezaji utakuwa mkubwa sana.

Ila kubwa zaidi nafurahi kwamba mpaka sasa, CCM wamefahamu umuhimu wa kuwa na katiba mpya. Maana tangu marehemu alivyoondoka ghafla taasisi za nchi hii ziliingiwa na kiwewe ambacho mpaka sasa hivi hakijaisha. Tukijipanga vizuri, mambo kama haya hayawezi kutokea kirahisi. Tatizo ni kwamba, CCM walifanya siasa za choyo, kihafidhina na kukomoana ila zimewarudia hadi wenyewe.

Mambo kama haya yanapotokea, mbali na kuwa na madhara, yanatuonesha tatizo kwenye nchi liko wapi. Mpaka sasa watu werevu ambao vichwa vyao vimetulia washafahamu tatizo kubwa liko wapi, nani ni adui, na jinsi gani tulishughulikie.

Hongera Dr Slaa, Hongera Lissu, Hongera Wakili Mwabukusi, mmelitendea haki taifa lenu. Mbarikiwe sana na Bwana Yesu.
 
Hata kama serikali italazimisha huu mkataba wa DP world.....Ila moto wameuona. Kitendo Cha kuwaona watanganyika kama wote ni wajinga na mazuzu itabidi watathmini upya.
Moto wa bandari ni hatari.
 
Wahenga walisema "ukimwamsha aliyelala, basi utalala wewe"

Kiburi, majivuno na tamaa ya watawala vimewafanya watanzania wahoji hata mambo ambayo hayakuwahi kuhojiwa huko nyuma. Kiufupi ni kwamba mpaka hili sakata linaisha watanzania wengi upeo wao wa kufikiria mambo hasahasa mikataba ya uwekezaji utakuwa mkubwa sana.

Ila kubwa zaidi nafurahi kwamba mpaka sasa, CCM wamefahamu umuhimu wa kuwa na katiba mpya. Maana tangu marehemu alivyoondoka ghafla taasisi za nchi hii ziliingiwa na kiwewe ambacho mpaka sasa hivi hakijaisha. Tukijipanga vizuri, mambo kama haya hayawezi kutokea kirahisi. Tatizo ni kwamba, CCM walifanya siasa za choyo, kihafidhina na kukomoana ila zimewarudia hadi wenyewe.

Mambo kama haya yanapotokea, mbali na kuwa na madhara, yanatuonesha tatizo kwenye nchi liko wapi. Mpaka sasa watu werevu ambao vichwa vyao vimetulia washafahamu tatizo kubwa liko wapi, nani ni adui, na jinsi gani tulishughulikie.

Hongera Dr Slaa, Hongera Lissu, Hongera Wakili Mwabukusi, mmelitendea haki taifa lenu. Mbarikiwe sana na Bwana Yesu.
Usifikiri hao wapayukaji uliowataja, Lissu, Slaa, Mwabukusi & Co, wana dhamira ya dhati kwa wanachokipayukia. Wote hao wanapayuka tu kujitafutia fursa
 
Usifikiri hao wapayukaji uliowataja, Lissu, Slaa, Mwabukusi & Co, wana dhamira ya dhati kwa wanachokipayukia. Wote hao wanapayuka tu kujitafutia fursa
Suala la dhamira ni la mtu binafsi, hata wewe unaweza ukawa unatafuta fursa kama wao ila umejivisha ngozi ya uzalendo. Hatuwezi kufahamu. Ila ambacho tunakifahamu ni kwamba wametusemea ambayo watanzania wengi tulikuwa nayo moyoni. Sasa, wamesema kwa kutafuta fursa binafsi au uzalendo, hayo hayanihusu hata kidogo.
 
Usifikiri hao wapayukaji uliowataja, Lissu, Slaa, Mwabukusi & Co, wana dhamira ya dhati kwa wanachokipayukia. Wote hao wanapayuka tu kujitafutia fursa
kama wewe kuwadi la dpworld uliyehongwa na mabwana zako warabu koko unavyowatetea.
 
Suala la dhamira ni la mtu binafsi, hata wewe unaweza ukawa unatafuta fursa kama wao ila umejivisha ngozi ya uzalendo. Hatuwezi kufahamu. Ila ambacho tunakifahamu ni kwamba wametusemea ambayo watanzania wengi tulikuwa nayo moyoni. Sasa, wamesema kwa kutafuta fursa binafsi au uzalendo, hayo hayanihusu hata kidogo.
Slaa au Lissu wasipopayuka umuhimu wao unapotea fasta. Kuna mtu anajua walikofia hawa waliokuwa waropokaji maarufu wa chadema: Lema, Wenje, Heche, Sugu?
 
Wahenga walisema "ukimwamsha aliyelala, basi utalala wewe"

Kiburi, majivuno na tamaa ya watawala vimewafanya watanzania wahoji hata mambo ambayo hayakuwahi kuhojiwa huko nyuma. Kiufupi ni kwamba mpaka hili sakata linaisha watanzania wengi upeo wao wa kufikiria mambo hasahasa mikataba ya uwekezaji utakuwa mkubwa sana.

Ila kubwa zaidi nafurahi kwamba mpaka sasa, CCM wamefahamu umuhimu wa kuwa na katiba mpya. Maana tangu marehemu alivyoondoka ghafla taasisi za nchi hii ziliingiwa na kiwewe ambacho mpaka sasa hivi hakijaisha. Tukijipanga vizuri, mambo kama haya hayawezi kutokea kirahisi. Tatizo ni kwamba, CCM walifanya siasa za choyo, kihafidhina na kukomoana ila zimewarudia hadi wenyewe.

Mambo kama haya yanapotokea, mbali na kuwa na madhara, yanatuonesha tatizo kwenye nchi liko wapi. Mpaka sasa watu werevu ambao vichwa vyao vimetulia washafahamu tatizo kubwa liko wapi, nani ni adui, na jinsi gani tulishughulikie.

Hongera Dr Slaa, Hongera Lissu, Hongera Wakili Mwabukusi, mmelitendea haki taifa lenu. Mbarikiwe sana na Bwana Yesu.
Liko wapi taifa la Tanganyika?
 
Slaa sio mzalendo usidanganye watu huyu alisaliti mabadiliko katikati ya mapambano akahongwa ubalozi. Akafie mbele huko.
 
Nani asiyependa uwekezaji wenye tija manufaa kwa taifa lake?

Nikiwahi kuandika humu. Sisi kama Taifa hatuwezi kununua cranes za kisasa kuweza kushusha mizigo kwa wakati na kuongeza ufanisi wa bandari yetu?

Kwa nini iwe ni Dp world na Mkataba usiofaa hata kununulia gari bovu?

Taifa hili linahitaji wazalendo Kama Dk Slaa ambao wapo tayari kufa ili kulinda rasimali za taifa lao.

Kizazi hiki kikitoweka. Itakuwaje?
We kenge huyo ni mchumia tumbo tu anatumiwa na kanisa lake kumkwamisha rais, ni mbaguzi anayetaka kuigawa nchi yetu,
 
Usifikiri hao wapayukaji uliowataja, Lissu, Slaa, Mwabukusi & Co, wana dhamira ya dhati kwa wanachokipayukia. Wote hao wanapayuka tu kujitafutia fursa
Wewe Una dhamira gani zaidi ya Uchawa?
 
CCM wameshafanya ufirauni mkubwa sana nchi hii, madini, vitalu vya Gas, mbuga zetu, na mikataba mingi ya kifisadi ! na Bado wanaendelea kuuza kila kilicho mbele yao! Hongera sana Dr Slaa, CDM na akina Wakili Msomi Mwabukuzi, Nshala na wengineo mmeamsha sana Taifa dhidi ya wezi.
 
Nani asiyependa uwekezaji wenye tija manufaa kwa taifa lake?

Nikiwahi kuandika humu. Sisi kama Taifa hatuwezi kununua cranes za kisasa kuweza kushusha mizigo kwa wakati na kuongeza ufanisi wa bandari yetu?

Kwa nini iwe ni Dp world na Mkataba usiofaa hata kununulia gari bovu?

Taifa hili linahitaji wazalendo Kama Dk Slaa ambao wapo tayari kufa ili kulinda rasimali za taifa lao.

Kizazi hiki kikitoweka. Itakuwaje?
Hivi huyu bwana nae anaingia kwenye kundi la wazalendo? Huyu sio yule aliyewasalitini nyie wana chadema na kuwaacha solemba kipindi kigumu cha uchaguzi na kulambishwa asali huko ubalozini?
 
Back
Top Bottom