falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mimi sio mtaalamu sana wa masuala haya ila naamini bado sio sababu ya kushindwa kukusanya maoni kuishauri serikali kupitia wizara ya utalii nini kifanyike kukuza utalii.
Nasisitiza tuweke uzalendo kwanza kwenye thread hii. Hii ni nchi yetu sote sisi na vizazi vijavyo vinahaki kufurahia maliasili zilizopo nchini.
Wizara ya utalii kupitia mh waziri Kigwangala wanafanya kazi kubwa kuhakikisha tunajitangaza.
Lakini kusema ukweli kasi ya watalii wanaoingia nchini kulinganishi na rasilimali zilizopo ni ndogo sana sawa na hakuna.
Hebu vuta picha mji wa New York peke yake kwa mwaka unapokea watalii milion 67. Huku kile kieneo
cha central park pekee alipo shoot diamond wimbo wake wa baila kinapokea watalii 25 million
Tukirudi kwetu sisi takwimu zinaonyesha tunapokea watalii milion na nusu, 150,0000 idadi hii ni ndogo sana lazima tuamke yaani mbuga ya Serengeti pamoja nakuwa kwenye rekodi za dunia lakini inapokea watalii wasiozidi laki tano.
Wazalendo lazima tuamke tuishauri serikali kipi cha kufanya.
Kama nilivyosema mwanzo mimi sio mtaalamu sana wa mambo haya ila nitapigania nchi yangu.
Serikali lazima ikubali kuingia gharama kubwa kujitangaza ni heri tukakubali kupata hasara mwaka mzima lakini tuwe tumejitangaza kwa miaka 1000 ijayo.
Serikali na mh Kigwangala ni ukweli usipingika watalii wengi nchini wanatokea Marekani. Sasa basi unaonaje Kama tutatumia gharama kwa mchanganuo ufuatao japo sijui Kama unawezekana au lah ila ni sehem ya ushauri tu
Tafuta macelebrity wakubwa marekani wa kutoka kila sekta watimie hamsini
Hawa ongea nao vizuri waorganize waje huku
Tunawatumia dege let moja Boeing liwafuate kwa gharama zetu sisi waje bongo
Wahakikishiwe usalama wait na mali zao maana katika kitu tutajenga au kubomoa endapo usalama wao unakuwa hafifu .pia tuhakikishe wahudumu wetu ni waaminifu jamani yaani tunatia aibu wahudumu wetu kudokoa vitu vya wageni aibu kubwa na hawa wadokozi wapewe adhabu kali kama wahujumu wa taifa.
Hawa macelebrity baada ya kutua bongo kwa gharama zetu tuwachukue hadi kwenye hotel zetu kwa gharama zetu waende kutembelea vivutio vyetu kwa gharama zetu bureeeee tusiwachaji hata mia na tuwape vip treatment (USISEME haiwezekani sema inawezekana)
Wakae bongo hata wiki nzima kisha tuingie nao mkataba kuwalipa kwa mwaka hata mmoja yaani kwa kila mapato yatokanayo na utalii Basi nao wanamgao wao asilimia fulani.
Pia kuna kitu kimoja au viwili vitatu vinawakera Sana watalii
Sisi watanzania tunatabia kuwaona watalii Kama walking ATM MACHINE tunatia aibu na hiki kitu kinawafanya wasiwe comfortable.
Pia sisi watanzania tunatabia ya kuwaita watalii wazungu hakuna neno linawafanya wajisikie vibaya kama wakijua tafsiri ya neno mzungu.wengi wanasema ni indicator of racism.
Mwisho tuna wale wauzaji bidhaa mbali mbali kwa watalii hawa ndugu zetu wanatabia ya kumzonga mtalii hata Kama mtalii alisema hanunui hiko kitu wao wanatabia ya kuwabembeleza hadi wanaboa.
Umemtangazia mtalii bidhaa yako akakwambia thank you yanini uendelee kumbembeleza hadi anakereka.
Pia wageni wetu haswa watu wa magharib wanautamadun wao na moja ya vitu ambavyo ni utamaduni wa ajabu ni ushoga
Tafadhali hata Kama kwetu ushoga ni kosa basi tusiwatreat vibaya hawa watu kiasi ambacho watarudi kwao na image mbaya kuhusu Tanzania yaani tujaribu hata kuigiza Kama hatuna neno nao ili wasijisikie unsafe being in Tanzania.
Je, wewe unashauri nini kifanyike kukuza utalii angalau kufikia utalii wa central park tu kabla hatujafikia utalii wa New York nzima.
Mimi sio mtaalamu sana wa masuala haya ila naamini bado sio sababu ya kushindwa kukusanya maoni kuishauri serikali kupitia wizara ya utalii nini kifanyike kukuza utalii.
Nasisitiza tuweke uzalendo kwanza kwenye thread hii. Hii ni nchi yetu sote sisi na vizazi vijavyo vinahaki kufurahia maliasili zilizopo nchini.
Wizara ya utalii kupitia mh waziri Kigwangala wanafanya kazi kubwa kuhakikisha tunajitangaza.
Lakini kusema ukweli kasi ya watalii wanaoingia nchini kulinganishi na rasilimali zilizopo ni ndogo sana sawa na hakuna.
Hebu vuta picha mji wa New York peke yake kwa mwaka unapokea watalii milion 67. Huku kile kieneo
cha central park pekee alipo shoot diamond wimbo wake wa baila kinapokea watalii 25 million
Tukirudi kwetu sisi takwimu zinaonyesha tunapokea watalii milion na nusu, 150,0000 idadi hii ni ndogo sana lazima tuamke yaani mbuga ya Serengeti pamoja nakuwa kwenye rekodi za dunia lakini inapokea watalii wasiozidi laki tano.
Wazalendo lazima tuamke tuishauri serikali kipi cha kufanya.
Kama nilivyosema mwanzo mimi sio mtaalamu sana wa mambo haya ila nitapigania nchi yangu.
Serikali lazima ikubali kuingia gharama kubwa kujitangaza ni heri tukakubali kupata hasara mwaka mzima lakini tuwe tumejitangaza kwa miaka 1000 ijayo.
Serikali na mh Kigwangala ni ukweli usipingika watalii wengi nchini wanatokea Marekani. Sasa basi unaonaje Kama tutatumia gharama kwa mchanganuo ufuatao japo sijui Kama unawezekana au lah ila ni sehem ya ushauri tu
Tafuta macelebrity wakubwa marekani wa kutoka kila sekta watimie hamsini
Hawa ongea nao vizuri waorganize waje huku
Tunawatumia dege let moja Boeing liwafuate kwa gharama zetu sisi waje bongo
Wahakikishiwe usalama wait na mali zao maana katika kitu tutajenga au kubomoa endapo usalama wao unakuwa hafifu .pia tuhakikishe wahudumu wetu ni waaminifu jamani yaani tunatia aibu wahudumu wetu kudokoa vitu vya wageni aibu kubwa na hawa wadokozi wapewe adhabu kali kama wahujumu wa taifa.
Hawa macelebrity baada ya kutua bongo kwa gharama zetu tuwachukue hadi kwenye hotel zetu kwa gharama zetu waende kutembelea vivutio vyetu kwa gharama zetu bureeeee tusiwachaji hata mia na tuwape vip treatment (USISEME haiwezekani sema inawezekana)
Wakae bongo hata wiki nzima kisha tuingie nao mkataba kuwalipa kwa mwaka hata mmoja yaani kwa kila mapato yatokanayo na utalii Basi nao wanamgao wao asilimia fulani.
Pia kuna kitu kimoja au viwili vitatu vinawakera Sana watalii
Sisi watanzania tunatabia kuwaona watalii Kama walking ATM MACHINE tunatia aibu na hiki kitu kinawafanya wasiwe comfortable.
Pia sisi watanzania tunatabia ya kuwaita watalii wazungu hakuna neno linawafanya wajisikie vibaya kama wakijua tafsiri ya neno mzungu.wengi wanasema ni indicator of racism.
Mwisho tuna wale wauzaji bidhaa mbali mbali kwa watalii hawa ndugu zetu wanatabia ya kumzonga mtalii hata Kama mtalii alisema hanunui hiko kitu wao wanatabia ya kuwabembeleza hadi wanaboa.
Umemtangazia mtalii bidhaa yako akakwambia thank you yanini uendelee kumbembeleza hadi anakereka.
Pia wageni wetu haswa watu wa magharib wanautamadun wao na moja ya vitu ambavyo ni utamaduni wa ajabu ni ushoga
Tafadhali hata Kama kwetu ushoga ni kosa basi tusiwatreat vibaya hawa watu kiasi ambacho watarudi kwao na image mbaya kuhusu Tanzania yaani tujaribu hata kuigiza Kama hatuna neno nao ili wasijisikie unsafe being in Tanzania.
Je, wewe unashauri nini kifanyike kukuza utalii angalau kufikia utalii wa central park tu kabla hatujafikia utalii wa New York nzima.