mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
Wanajamvi
Sura ya kwanza ya Rasimu, Sehemu ya Kwanza Ibara 4 (1) inasomeka, "Lugha ya Taifa ya Jamhuri ya Muungano ni Kiswahili na itatumika katika mawasiliano rasmi ya kitaifa na kiserikali
Wajumbe wa Bunge katiba Taasisi ya Elimu hebu mkaifanyie marekebisho kitumike kufundishia
Kwanini?
-Miaka 50 hakijasaidia sana
-Kiwe rasmi hata katika kufundishia
-TUKI, Udsm ilishaona umuhimu kitumike. Mpaka wana vitabu vya shule za Sekondari tafsiri ya kiswahili
-Ni wakati wa kuachana na kiingereza ambacho kinawafanya wanafunzi wasiweze kwenda zaidi ya walichosoma au kujifunza kwa kuwa lugha sio rafiki.
-Mafanikio ya Elimu yanategemea pia lugha iliyotumika katika kufikia malengo ni wakati kuelewa isiwe tatizo
- Kiingereza kimekuwa KERO kwa Wanaojifunza kuelewa kiwango cha utoshelevu na hata Wanaofundisha.
-Kiingereza wakoloni walitaka tujue walichotaka sio zaidi, "Elimu ya kukaririshwa"
Hivyo isomeke, "....na itatumika RASMI KUFUNDISHIA ELIMU YA MSINGI,SEKONDARI,VYUO na mawasiliano ya kitaifa na kiserikali
Sura ya kwanza ya Rasimu, Sehemu ya Kwanza Ibara 4 (1) inasomeka, "Lugha ya Taifa ya Jamhuri ya Muungano ni Kiswahili na itatumika katika mawasiliano rasmi ya kitaifa na kiserikali
Wajumbe wa Bunge katiba Taasisi ya Elimu hebu mkaifanyie marekebisho kitumike kufundishia
Kwanini?
-Miaka 50 hakijasaidia sana
-Kiwe rasmi hata katika kufundishia
-TUKI, Udsm ilishaona umuhimu kitumike. Mpaka wana vitabu vya shule za Sekondari tafsiri ya kiswahili
-Ni wakati wa kuachana na kiingereza ambacho kinawafanya wanafunzi wasiweze kwenda zaidi ya walichosoma au kujifunza kwa kuwa lugha sio rafiki.
-Mafanikio ya Elimu yanategemea pia lugha iliyotumika katika kufikia malengo ni wakati kuelewa isiwe tatizo
- Kiingereza kimekuwa KERO kwa Wanaojifunza kuelewa kiwango cha utoshelevu na hata Wanaofundisha.
-Kiingereza wakoloni walitaka tujue walichotaka sio zaidi, "Elimu ya kukaririshwa"
Hivyo isomeke, "....na itatumika RASMI KUFUNDISHIA ELIMU YA MSINGI,SEKONDARI,VYUO na mawasiliano ya kitaifa na kiserikali