Kwamba sisi sio wachoyo mkuu au?Tanga rahisi kufika ila ngumu kutoka, mwanamke shujaa ni yule anaemdatisha mume hadi ikawa hajielewi hatimaye huhama kwake, hutelekeza mke na watoto na humsahau hadi mama yake. ila uzuri hawatumii nguvu nyie Watanga mungu anawaona. siku ukikataliwa na binti la Tanga basi kaoge mali ya bahari.
haswa tena umepewa bure ubane la nini si litavunda, halafu mnajuwa kucheza zile nyimbo za biti lainiKwamba sisi sio wachoyo mkuu au?
Mzee kwani hujui unashika pembe?Huu uzi utatusaidia kuwajua mashemeji zetu. Kijana tulia
Eti mmepewa bure vipi nyie mfanye uchoyo?1😎😎😎Kwamba sisi sio wachoyo mkuu au?
Duuuh[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]nimerudi home
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]nitaaga dada msijali
Jirani tutafutane maana naweza kuadimika kuliko wewenimebanwa tu jirani
usijali babuNachoma mahindi tu...
usiadimike jamani jiraniJirani tutafutane maana naweza kuadimika kuliko wewe
Ntaachaje kujali wakati naumia "loho"usijali babu
hahah lohoNtaachaje kujali wakati naumia "loho"
Tuombe uzima jiraniusiadimike jamani jirani
muheza na Mkinga zitoe hamna bahar hukoMkinga, Tanga, Muheza na Pangani ni wilaya zenye bahari.
muheza na Mkinga zitoe hamna bahar huko
duh!! umedenganya ndugu. hizo wilaya zote kuna baharimuheza na Mkinga zitoe hamna bahar huko