Wazanzibar hatuko tayari nchi yetu kufanywa Wilaya kwa kuletewa dalali

Wazanzibar hatuko tayari nchi yetu kufanywa Wilaya kwa kuletewa dalali

Kakke

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2010
Posts
1,883
Reaction score
1,482
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.

Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.

Sisi wazanzibar tu nasema hilo halitotokea rabda mutuue sote lakini hatuko tayari kuifukia nchi yetu kwa kutumia mikono ya vibaraka wahafisina wasaka Tonge.

Wananchi wa Zanzibar mara hii tumejipanga kwa lolote lile tuko tayari wala Sirro asifikirie wazanzibar ni watu lele mama .

Tutasimamia haki yetu kwa samani yoyote ile ,kama noma naiwe noma.

Kama muna zani kuwaekea pingamizi wabunge na kupitisha hoja yenu ya plan yakuizika zanzibar mutafuzu ?basi jaribu ni?
 
Mgombea urais JMT CCM anatoa vitisho.

IMG-20200906-WA0023.jpg
 
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.

Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.

Sisi wazanzibar tu nasema hilo halitotokea rabda mutuue sote lakini hatuko tayari kuifukia nchi yetu kwa kutumia mikono ya vibaraka wahafisina wasaka Tonge.

Wananchi wa Zanzibar mara hii tumejipanga kwa lolote lile tuko tayari wala Sirro asifikirie wazanzibar ni watu lele mama .

Tutasimamia haki yetu kwa samani yoyote ile ,kama noma naiwe noma.

Kama muna zani kuwaekea pingamizi wabunge na kupitisha hoja yenu ya plan yakuizika zanzibar mutafuzu ?basi jaribu ni?

..TL anakuja Unguja na Pemba kuanzia Jumatatu.

..Na hapo ndipo atakapomsambaratisha Hussein Mwinyi.

..Hussein ni Mtanganyika na ana kesi ya kukwepa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria.

..Turudishieni mtu wetu huku Tanganyika na moja kwa moja tutampeleka JKT- Bulombora.

..Uchaguzi huu Wazanzibar na Watanganyika tunapaswa kuunganisha nguvu zetu kumuondoa mkoloni mweusi.
 
..TL anakuja Unguja na Pemba kuanzia Jumatatu.

..Na hapo ndipo atakapomsambaratisha Hussein Mwinyi.

..Hussein ni Mtanganyika na ana kesi ya kukwepa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria.

..Turudishieni mtu wetu huku Tanganyika na moja kwa moja tutampeleka JKT- Bulombora.

..Uchaguzi huu Wazanzibar na Watanganyika tunapaswa kuunganisha nguvu zetu kumuondoa mkoloni mweusi.
Wazanzibar wote asili yao ni Tanganyika, Malawi na Oman!
 
Kuna sehemu naona Nyerere alifail kidogo, Karume hakuwa na ushawishi wa kunzuia Nyerere kuifanya Zanzibar Mkoa tu, Mzee sijui hakuona tatizo la hawa watu? Zanzibar mpaka wakati huu ilipaswa tayari iwe imechanganyika na bara haswa kwa upande wa Raia na mambo ya unzanzibar yawe hakuna tena ni miaka mingi eti tangu 1964 mpaka leo jamani hawa watu bado wana bunge na Rais wao hili hapana kabisa hawa watatusumbua mbele, Kuna kila sababu ya kutake stiff decisions na kuifanya Zenj mkoa tu na tuhakikishe interaction inakuwa kubwa ili kufuta kabisa unzanzibar na ibaki Tanzania tu
 
Jiwe umewagawa Watz kwa Makabila Mikoa Kanda na kwa Lugha zao. Jiandae na usifikiri kuwanganisha tena ni kazi ndogo. Vitisho na Ubaguzi ndiyo Jadi yako. Sasa kuna jambo linakuja.
 
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.

Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.

Sisi wazanzibar tu nasema hilo halitotokea rabda mutuue sote lakini hatuko tayari kuifukia nchi yetu kwa kutumia mikono ya vibaraka wahafisina wasaka Tonge.

Wananchi wa Zanzibar mara hii tumejipanga kwa lolote lile tuko tayari wala Sirro asifikirie wazanzibar ni watu lele mama .

Tutasimamia haki yetu kwa samani yoyote ile ,kama noma naiwe noma.

Kama muna zani kuwaekea pingamizi wabunge na kupitisha hoja yenu ya plan yakuizika zanzibar mutafuzu ?basi jaribu ni?

Yaani upinzani wamekaa mahakamani, polisi na magerezani miaka mitano yote ila wana furaha, vicheko. CCM wana makasiriko, shuruba, ghadhabu, nyongo na bado washajipitisha bila kupingwa sehemu kadhaa; sijui wanashida gani.
 
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.

Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.

Sisi wazanzibar tu nasema hilo halitotokea rabda mutuue sote lakini hatuko tayari kuifukia nchi yetu kwa kutumia mikono ya vibaraka wahafisina wasaka Tonge.

Wananchi wa Zanzibar mara hii tumejipanga kwa lolote lile tuko tayari wala Sirro asifikirie wazanzibar ni watu lele mama .

Tutasimamia haki yetu kwa samani yoyote ile ,kama noma naiwe noma.

Kama muna zani kuwaekea pingamizi wabunge na kupitisha hoja yenu ya plan yakuizika zanzibar mutafuzu ?basi jaribu ni?

Pambaneni kiume la sivyo mtakuwa mkoa I na wilaya 2. Si utani, ndiyo mpango wenyewe. Rais wenu anachaguliwa Dodoma na mwaka huu wasimamizi wa uchaguzi Pemba wote ni usalama wa Taifa kutoka bara. Pambaneni, la sivyo mtakuwa mkoa tu.
 
Kuna sehemu naona Nyerere alifail kidogo, Karume hakuwa na ushawishi wa kunzuia Nyerere kuifanya Zanzibar Mkoa tu, Mzee sijui hakuona tatizo la hawa watu? Zanzibar mpaka wakati huu ilipaswa tayari iwe imechanganyika na bara haswa kwa upande wa Raia na mambo ya unzanzibar yawe hakuna tena ni miaka mingi eti tangu 1964 mpaka leo jamani hawa watu bado wana bunge na Rais wao hili hapana kabisa hawa watatusumbua mbele, Kuna kila sababu ya kutake stiff decisions na kuifanya Zenj mkoa tu na tuhakikishe interaction inakuwa kubwa ili kufuta kabisa unzanzibar na ibaki Tanzania tu
Yaani upinzani wamekaa mahakamani, polisi na magerezani miaka mitano yote ila wana furaha, vicheko. CCM wana makasiriko, shuruba, ghadhabu, nyongo na bado washajipitisha bila kupingwa sehemu kadhaa; sijui wanashida gani.
 
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.

Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.

Sisi wazanzibar tu nasema hilo halitotokea rabda mutuue sote lakini hatuko tayari kuifukia nchi yetu kwa kutumia mikono ya vibaraka wahafisina wasaka Tonge.

Wananchi wa Zanzibar mara hii tumejipanga kwa lolote lile tuko tayari wala Sirro asifikirie wazanzibar ni watu lele mama .

Tutasimamia haki yetu kwa samani yoyote ile ,kama noma naiwe noma.

Kama muna zani kuwaekea pingamizi wabunge na kupitisha hoja yenu ya plan yakuizika zanzibar mutafuzu ?basi jaribu ni?
Kuandika shida, tatizo elimu HAKUNA kujikomboa itakuwa ngumu.
 
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.

Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.

Sisi wazanzibar tu nasema hilo halitotokea rabda mutuue sote lakini hatuko tayari kuifukia nchi yetu kwa kutumia mikono ya vibaraka wahafisina wasaka Tonge.

Wananchi wa Zanzibar mara hii tumejipanga kwa lolote lile tuko tayari wala Sirro asifikirie wazanzibar ni watu lele mama .

Tutasimamia haki yetu kwa samani yoyote ile ,kama noma naiwe noma.

Kama muna zani kuwaekea pingamizi wabunge na kupitisha hoja yenu ya plan yakuizika zanzibar mutafuzu ?basi jaribu ni?
Wala urojo bana.

Mnamtishia nani haswa?

Huku bara mmejaa kibao ilhali tukija huko mnatubagua kinyama
 
Back
Top Bottom