Wazanzibar Iwapo watataka serikali 2 waache kabisa kulia lia na kero za muungano tena tumechoka

Wazanzibar Iwapo watataka serikali 2 waache kabisa kulia lia na kero za muungano tena tumechoka

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Kuna dalili kuwa hawa watu wanataka kuendelea kwa serikali 2 huku wakidhani mapendekezo ya serikali 3 si ya wananchi bali ni ya chama fulani wasichokipenda.Kwa hiyo kuunga kwao serikali 2 ni kama njia ya kuwakomoa watu wa chama kinachounga mkono serikali 3.Kama itakuwa hivyo,basi wakome kumwagia watu tindikali,kuchoma maduka na makanisa eti tu kwa vile kuna kero za muungano!Watulie kama watu wa bara walivyotulia kabla hawajawatibua kutokana na kelele za kero za muungano wakati watanzania wote wana kero nyingi tu za maisha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Muungano uvunjike tu tubaki na tanganyika yetu. Faida za muungano kwa bara hazipo.
 
wazanzibar ni wanafiki sana. na mtaendelea kutawaliwa milele na milele. mbafu zenu
 
Wazanzibar ni wanafiki na wasipendi na unafiki wao.. Vigeu geu sana hawa mdebwedo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
unamaanisha kuwa wakifanyie marekebisho kipengele kinachosema Zanzibar ni nchi, Je, una uhakika wako tayari kuondoa kipengele hicho. Hata hivyo tuseme wazi waliopewa majukumu ya kuilinda katiba wametuangusha sana, hivi kwanini waliruhusu Karume achezee Katiba ya Muungano?
 
Ebu mleta uzi na yoyote mwenye mawazo kama ya huyu, na atutajie Mzanzibari mmoja tu anaetaka serekali mbili ukitoa UVCCM na baadh ya ccm wengine waliokuja zanzibar kwa mshindo wa beni la mbio za mwenge.
 
wazanzibar ni wanafiki sana. na mtaendelea kutawaliwa milele na milele. mbafu zenu

Unajiskiaje akitokea m2 akiwaita waze wako wapumbav? But c kulaumu kwa vile hujui uchungu wa wazazi couse hunao wala huja wah kuwa nao umekulia mitaani, wakat mama ako anashinda madunguroni.
 
Muungano uvunjike tu tubaki na tanganyika yetu. Faida za muungano kwa bara hazipo.
angalau wewe unataka uvunjike leo, wazanzibar walitaka uvunjike tokea huyo muasisi (mzekarume) yupo hai. faida kubwa mulioipata ni kuja kustaarabishwa na wapemba sema tu hamna shukurani.
 
Wazanzibar ni wanafiki na wasipendi na unafiki wao.. Vigeu geu sana hawa mdebwedo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Hakuna ata mzanzibari mmoja aliesema kama wewe anakupenda c jui umetoka wapi na shobo lako kwa wazanzibar, na c wewe tu vichogo nyote mnajijua kama waznzibar wanawachukia kuliko ata mavi yao munajipendeza tu.
 
Ebu mleta uzi na yoyote mwenye mawazo kama ya huyu, na atutajie Mzanzibari mmoja tu anaetaka serekali mbili ukitoa UVCCM na baadh ya ccm wengine waliokuja zanzibar kwa mshindo wa beni la mbio za mwenge.

Lipumba na wenzake wa CUF.
Juzi hapa katoka kusema serikali 3 ni mzigo kwa taifa....haifai. Na ukumbuke huyo ni mwenyekiti wa taifa wa CUF. What do you expect?
 
Kuna dalili kuwa hawa watu wanataka kuendelea kwa serikali 2 huku wakidhani mapendekezo ya serikali 3 si ya wananchi bali ni ya chama fulani wasichokipenda.Kwa hiyo kuunga kwao serikali 2 ni kama njia ya kuwakomoa watu wa chama kinachounga mkono serikali 3.Kama itakuwa hivyo,basi wakome kumwagia watu tindikali,kuchoma maduka na makanisa eti tu kwa vile kuna kero za muungano!Watulie kama watu wa bara walivyotulia kabla hawajawatibua kutokana na kelele za kero za muungano wakati watanzania wote wana kero nyingi tu za maisha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Uko sawa wewe au...chakari kwa gongo
 
jamii forum pamekuwa paki senge sasa, badala tujadili ya maana , kazi kutukanana tu,mara wazanzibari mara watanganyika, huu ni ujinga , tujadiri mambo ya manufaa kwa Tanzania yetu nyama nyie...
 
jamii forum pamekuwa paki senge sasa, badala tujadili ya maana , kazi kutukanana tu,mara wazanzibari mara watanganyika, huu ni ujinga , tujadiri mambo ya manufaa kwa Tanzania yetu nyama nyie...

Wewe ndio unamatatizo. Ndio nyie mnafanya biashara bila kuandikishiana. Kwanza tanzania yenyewe inawezekana isiwepo baada ya katiba mpya kama watafuata matakwa ya raia wote
 
Kuna dalili kuwa hawa watu wanataka kuendelea kwa serikali 2 huku wakidhani mapendekezo ya serikali 3 si ya wananchi bali ni ya chama fulani wasichokipenda.Kwa hiyo kuunga kwao serikali 2 ni kama njia ya kuwakomoa watu wa chama kinachounga mkono serikali 3.Kama itakuwa hivyo,basi wakome kumwagia watu tindikali,kuchoma maduka na makanisa eti tu kwa vile kuna kero za muungano!Watulie kama watu wa bara walivyotulia kabla hawajawatibua kutokana na kelele za kero za muungano wakati watanzania wote wana kero nyingi tu za maisha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Serukali mbili ndiyo inafaa... hawa cdm wanapotaka serikali 3 wakati huohuo wanapinga matumizi makubwa ya serikali which is crowback na unafiki....
 
Back
Top Bottom