Wazanzibari suala la Muungano ni ndumila kuwili!

Wazanzibari suala la Muungano ni ndumila kuwili!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
IMG-20240503-WA0013.jpg

Vitendo huthibitisha yale yamtokayo mtu mdomoni.
Ni dhahiri sasa wenzetu wazanzibari wanatekeleza kile walichomaanisha , msemo wa
Changu Changu Chako Chetu.

Maneno yaMakamu wa Rais Zanzibar na matangazo ya kazi kwa upendeleo wa wazanzibari tu, tumeyaona.
Shaka Hamdu, mzanzibari asiye na hata ndugu Bara ni mkuu wa wilaya huku Bara.
Changu Changu ,Chako Chetu.

PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
 
Halafu sasa hivi rais wa Tanzania ni kutoka kwao, yamekaa kimyaaa haya mabaguzi. Natamani yakiamshe tugawane fito.
 
Halafu sasa hivi rais wa Tanzania ni kutoka kwao, yamekaa kimyaaa haya mabaguzi. Natamani yakiamshe tugawane fito.
kuna kigagula mmoja anaitwa Fatme Karume kashupaa hataki neno zanzibar/kizimkazi au mama malkia atajwe! Tugawane tu fito miye nimeona na kuchagua duka la mpemba nitarithi hapa kimanzichana!
 
Tatizo sio Mzanzibar wala Zanzibar, Tatizo ni Watanganyika na Tanganyika yao.Wazanzibar walikataa uhuni wa kupoteza taifa lao na utambulisho wao,huku kwa Watanganyika wakapoteza kila kitu kwa sera ya "zidumu fikra za Mwenyekiti".
 
Tatizo sio Mzanzibar wala Zanzibar, Tatizo ni Watanganyika na Tanganyika yao.Wazanzibar walikataa uhuni wa kupoteza taifa lao na utambulisho wao,huku kwa Watanganyika wakapoteza kila kitu kwa sera ya "zidumu fikra za Mwenyekiti".
Ndio wameamka ati!
Tanganyika lazima irudi!
 
Back
Top Bottom