johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri Amina wa SMZ amesema Zanzibar ina akiba ya kutosha ya chakula ukiwemo mchele na sukari na kwamba hata sasa kuna meli yenye tani 600 za mchele bandarini na ameelekeza mchele huo utolewe haraka.
Hivyo amewataka wananchi kutokuwa na hofu ya upungufu wa chakula katika kipindi hiki cha mapambano ya Corona.
Naye Waziri wa Afya Mh. Hamad Rashid amesema kwa sasa itailazimu Benki Kuu nchini na Benki ya Dunia kuingiza fedha kwenye uchumi wa Zanzibar ili kuunusuru kwani asilimia 70 ya uchumi huo inategemea Utalii ambao umesimama.
Source: ITV
Hivyo amewataka wananchi kutokuwa na hofu ya upungufu wa chakula katika kipindi hiki cha mapambano ya Corona.
Naye Waziri wa Afya Mh. Hamad Rashid amesema kwa sasa itailazimu Benki Kuu nchini na Benki ya Dunia kuingiza fedha kwenye uchumi wa Zanzibar ili kuunusuru kwani asilimia 70 ya uchumi huo inategemea Utalii ambao umesimama.
Source: ITV