Wazanzibari wahongwa 420,000/= kwa siku ili wakubali serikali mbili

Wazanzibari wahongwa 420,000/= kwa siku ili wakubali serikali mbili

why

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
203
Reaction score
82
Wajumbe kutoka zanzibar walipwa 420,000/= ili wakubali kurudi katika serikali mbili, hii imetokana na kuwepo kwa nguvu kubwa kutoka znz ikitaka serikali tatu.
 
Wito: Wazanzibar wasikubali kuyumbishwa/kuvurugwa kwa pesa, wasimamie maslahi yao.
 
haya ni mazito yanahitaji ushahidi pia.... je waweza kuleta habari na vielelezo vizuri ili tufanye uamuzi...
 
Huo sasa ni uzumbukuku, nadhani huu waya umejaa uzushi. Wabunge wa Zenj ni watu makini sana kuliko hata wa huku kwetu bara.
 
Mimi ni mzanzibar, nakubaliana na mleta Uzi huu, tumepewa ulevi huu bila ya kujielewa.

Lakini nawausia jamaa zangu hawa waliotumwa na wengi kutoka nyumbani,

Zanzibar kwanza pesa baadae, tuirudishe znz yenye heshima, Zanzibar itakayopata heshima dunia nzima.

Na nawaahidi wajumbe tuliowatuma huko kama mutairudisha znz kwenye mikono ya waznz nawaahidi tutawapatia nafasi za ubalozi.

Ninawaahidi mapokezi makubwa sana ya heshima hayahawahi kutokea.
 
laweza likawa la kweli,nawaomba wazanzibar kwa wingi wao wasiyumbishwe na tshs 430,000/=Bali watazame miaka 100ijayo.
 
Mimi ni mzanzibar, nakubaliana na mleta Uzi huu, tumepewa ulevi huu bila ya kujielewa.

Lakini nawausia jamaa zangu hawa waliotumwa na wengi kutoka nyumbani,

Zanzibar kwanza pesa baadae, tuirudishe znz yenye heshima, Zanzibar itakayopata heshima dunia nzima.

Na nawaahidi wajumbe tuliowatuma huko kama mutairudisha znz kwenye mikono ya waznz nawaahidi tutawapatia nafasi za ubalozi.

Ninawaahidi mapokezi makubwa sana ya heshima hayahawahi kutokea.

Tulizana wanyumbani, ucwe rahisi kukubali Propaganda!!
 
Huo sasa ni uzumbukuku, nadhani huu waya umejaa uzushi. Wabunge wa Zenj ni watu makini sana kuliko hata wa huku kwetu bara.

Mkuu acha dharau kwa Watanganyika! Kama Wazanzibari ni watu makini kwa nini Rais wao Jumbe alinyang'anywa vyeo vyote na Mwalimu na hawakufanya lolote?
 
Mkuu acha dharau kwa Watanganyika! Kama Wazanzibari ni watu makini kwa nini Rais wao Jumbe alinyang'anywa vyeo vyote na Mwalimu na hawakufanya lolote?

Iyo ngumu kujibu.
 
mbona hiyo 420,000 ndogo wanapewa na ardhi bara na vyeo juu, pamoja na majimbo yao kuwa ya watu 10,000, hivyo kuwapa fursa ya kuwa na wabunge wengi kulinganisha na idadi yao
 
Mkuu acha dharau kwa Watanganyika! Kama Wazanzibari ni watu makini kwa nini Rais wao Jumbe alinyang'anywa vyeo vyote na Mwalimu na hawakufanya lolote?

Huyo nyerere mulikuwa munamuabudia ndio maana watanganyik wote wanamuogopa pamoja na wale vibaraka wao ccm wakiZanzibar, hadi hii leo hamuamina km nyerre hayup ndio mnahongana ili musimuudhi babaenu...

Hao mamluki mlio wapelek huk bungni wacha tu wahongw ila siku ya kisanduku ndio aibu yao!.
 
Back
Top Bottom