wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
kama siyo ccm, hdi ya zanzibar ingekuwa 0.99 au 1.0.Kuna kipimo cha kupima maendeleo ya binadamu, kinaitwa HDI (human development index).
Hiki hupima elimu, umri wa kuishi na kipato cha mtu. Kinapima kuanzia 0 hadi 1.
Tanzania yote kipimo hiki kinasoma 0.529. hii ni chini na ni alama ya umaskini na kutoendelea. Zanzibar kinasoma 0.72 na ni kiwango cha juu kikiashiria maendeleo na utajiri.
Uhalisia wa hiki uko vipi?
Wee huku Pemba watu wanashindwa boflo !Bandari tu ya Unguja inatosha kuwalisha raia wote pasi kufanya kazi, so linganisha na Tanganyika ndipo ugolo wako upate hitihali ya ustawi.
KumbeJapo wanashika mkia.. wao ndio wanapewa kipaumbele cha ajira na maksi zao mbovu... huku watu wa bara na division one zao wanakosa ajira..
Ukiwa na degree yoyote, pamoja na kitambulisho cha mkazi na cheti cha kuzaliwa cha zanzibar.. kupata ajira ni lazima... maana mashirika yote yaliyo chini za wizara za muungano kama tra, nssf, tanesco, polisi etc yakitangaza nafasi za kazi wazanzibar wana nafasi zao za upendeleo ili kulinda muungano.. kumbuka zanzibar ina watu wachache kama milion moja total population... nafasi za muungano ni nyingi kuliko idadi ya wasomi wao
Huko ni kuhamisha magoli sasa.Ratio ya idadi ya watu.
Ni kweli kabisa kwasababu wanatunyonya watu wa Tanzania bara .Kuna kipimo cha kupima maendeleo ya binadamu, kinaitwa HDI (human development index).
Hiki hupima elimu, umri wa kuishi na kipato cha mtu. Kinapima kuanzia 0 hadi 1.
Tanzania yote kipimo hiki kinasoma 0.529. hii ni chini na ni alama ya umaskini na kutoendelea. Zanzibar kinasoma 0.72 na ni kiwango cha juu kikiashiria maendeleo na utajiri.
Uhalisia wa hiki uko vipi?
Huku tunatilia mkazo MADRASSA...kila matokeo ya darasa la saba na form 4 shule nyingi za visiwani hua zinashika mkia.
Uhalisia wa hiki uko vipi?
Nafahamu sana sheikh, hapo menu kuu ni boflo, supu, chips kwa mishikaki ya kuku zoba, ubwabwa maharage na labda jioni uende darajani ukale ugali samaki/nyama kwa wamama wa tabora hapo.Wee huku Pemba watu wanashindwa boflo !
Ni kweli kabisa kwasababu wanatunyonya watu wa Tanzania bara .
Kwa hiyo koloni letu linafanya vizuri kuliko sisi watawala?Kuna kipimo cha kupima maendeleo ya binadamu, kinaitwa HDI (human development index).
Hiki hupima elimu, umri wa kuishi na kipato cha mtu. Kinapima kuanzia 0 hadi 1.
Tanzania yote kipimo hiki kinasoma 0.529. hii ni chini na ni alama ya umaskini na kutoendelea. Zanzibar kinasoma 0.72 na ni kiwango cha juu kikiashiria maendeleo na utajiri.
Uhalisia wa hiki uko vipi?