jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,404
- 4,973
NOp! Nop! Nop!! Hii sio kamuni ya wazawa, hii imekuja ili kupre empty ile kampuni iliyoanzishwa na Mzee Reginald Mengi kupitia Tanzania Private sector Foundation - TPSF, ambayo in real sense ndio hasa kampuni ya wazawa tunayoisubiria watoe share zao.. Wananchi msidanganyike hata kidogo. Mtapoteza fedha zenu.
acha unazi wa Mengi, tuko kwenye soko huria, makampuni ya wazawa yanaweza kuwa hata millioni moja, aliyekuambia kampuni lazima iwe moja tu ni nani? tena lazima iendeshwe na mengi? Halafu kama taarifa zangu ziko sawa Mengi mwenyewe tayari ana hisa zake kwenye hii hii swala Oil....:der: