Ulilosema ni kweli kabisa acha tuwapeleke st Kayumba wakalundikane kama viroba vya viazi ndo wataelewa sana. Tumekuelewa sana!sasa kumbe je
Umesusa?Ulilosema ni kweli kabisa acha tuwapeleke st Kayumba wakalundikane kama viroba vya viazi ndo wataelewa sana. Tumekuelewa sana!
Kuna scholarships kibao.One good thing about GCSE is that it's your ticket into the echelons of High Society. The connections you make at international schools, will surely transform the life of a child forever.
I hate that fees are over-hyped.
Mkuu, upande upi una upendeleo ? Je EM au Kayumba au wote wana nafasi sawa?Accademic suicide!neno kubwa sana!
Tamati ndio hutoa hatma bila kujali kijana kasomea wapi na kitu gani!!
Hatma ni uwezo wa kupata pesa kirahisi Tena nyingi bila kutumia nguvu kuu!!hiyo ndio ndoto ya kila mzazi na kijana msomi!
Uelewa was elimu bila hayo niliotaja hapo juu Elimu inakua Haina maana zaidi ya maneno matupu plus lahaja za kuchekesha zisizo na ufumbuzi wa kiuchumi Kwa familia,ukoo na mhusika!!
Mtanyukana Sana hapa lakini jiulize hatma ya yote ni nini!!?Ni pesa na matumizi yake ili kuleta unafuu wa maisha bila hayo hamna kitu!!!
Waza hivyo!!
Ni sisi tumeshindwa kuitafsiri elimu kwa vitendo.Iwe private ama public elimu yetu unafundishwa vitu ambavyo haviendani na maisha halisi hivyo hakuna haja ya kutoboka mfuko kwa mfano mtoto anafundishwa sehemu za panzi au kigawe kikuu cha shirika akimaliza shule anakuwa hawezi kujitegemea wala kutegemewa
Hivi elimu wanayofundisha shulen unaijua? Ni full upambavu hakuna kitu yan kuanzia msing sekondar had vyuo elimu ni hiz za shule ni kama michezo tu ya 3 mzuka, biko na mshua wajinga ndo huwa kwenye hiv vituMkuu sio waxazi kua bahili kwangu ni kukosa muamuko wa elimu na kufuata mkumbo kwasababu mzazi huyu huyu anapoteza pesa nyingi kwa vitu vingine visio na umuhimu wowote
Umeongea kitu sana mkuu nataman hata kwenye vitendo uwe ivo usiwe kama elim yetu tu na wewe kama inavyofundisha mavitu makubwa kama taarifa za vituo vya habari ambazo hazina actionNi sisi tumeshindwa kuitafsiri elimu kwa vitendo.
Kutaja sehemu za panzi kunaweza kuwa na manufaa makubwa sana ktk sekta ya ubunifu. Jinsi panzi anavyoruka ni maajabu makubwa tulio yazoea..
Ukichukulia mfano urukaji wa inzi unaweza unganisha na bunufu kama helicopter na zile ndege za kijeshi zonavyofanya maneuver.
Ukija kwa vigawe tasa ni msingi mkuu wa hesabu za juu mfano RADICALS,CS .
Wadudu ni muhimu sana ktk teknolojia ya aviation hasa DRONES.
Shida iliopo tanzania ni KUMFUNDISHA KILA MTU KILA KITU, how come!
Hesabu zinawahitaji critical thinker, High problem solver, high memorization, fast learner nk.
Ukija bailojia inahitaji watu wenye uwezo mkubwa wa kukariri mambo kwa mda mfupi, Siasa inahitaj8 wacheshi, sasa mtu wa kipaji cha kuchora unamkaririsha panzi unakuwa unamdhulumu.
Inatakiwa kila mmoja awekwe eneo analomudu. ELIMU ITAKUWA RAHISI SANA NA TUTAPATA MATOKEO MAZURI NA WABUNIFU WA KUTOSHA.
Mtaala mpya bado hauja solve hili tatizo, kwa hio tutaendelea kulaumu na kumtafuta mchawi japo umetatua baadhi ya mambo ila kuna deni. Hata hivyo tumshukuru waziri amesikilza maoni ya WATANZANIA japo aendeleee kupokea mawazo kupitia vyanzo mbali mbali tupate kitu cha 21stC.
Vijana wako wanatengeneza pesa?Nikiangalia uwezo wa mimi baba mtu na wa vijana wangu waliopo EMs najikumbusha umri wao nilikuwa na uwezo gani halafu nacheekaa jinsi elimu niliyokuwa nayo angalau darasa la tano ilivyokuwa kituko....vijana wangu wadogo uwezo wao wa kuchanganua mambo ni mkubwa sana...
bahati nzuri hapa jirani wanacheza na watoto wenzao wa Kayumba ukiwafananisha hata wanapokuwa hapa sebuleni kutazama TV unagundua tofauti kubwa sana...
upopoma wa watoto siku za baadae unaweza kujengwa na mzazi bahiri. Tukutane kileleni. N'yadikwa
Vijana wako wanatengeneza pesaNikiangalia uwezo wa mimi baba mtu na wa vijana wangu waliopo EMs najikumbusha umri wao nilikuwa na uwezo gani halafu nacheekaa jinsi elimu niliyokuwa nayo angalau darasa la tano ilivyokuwa kituko....vijana wangu wadogo uwezo wao wa kuchanganua mambo ni mkubwa sana...
bahati nzuri hapa jirani wanacheza na watoto wenzao wa Kayumba ukiwafananisha hata wanapokuwa hapa sebuleni kutazama TV unagundua tofauti kubwa sana...
upopoma wa watoto siku za baadae unaweza kujengwa na mzazi bahiri. Tukutane kileleni. N'yadikwa
Lakini kwa sehemu kubwa unachangiwa na ubahili pia. Miaka hii kuna private primary school nzuri sana ada ya kawaida tu ya milioni moja unusu au milioni lakini kuna jamaa lina kipato ila linaishia kuhonga tu...tezi dume ikikazana miaka ya usoni baba hela hana mtoto hela hana wote wakata ufuta ndo utajuaMkuu sio waxazi kua bahili kwangu ni kukosa muamuko wa elimu na kufuata mkumbo kwasababu mzazi huyu huyu anapoteza pesa nyingi kwa vitu vingine visio na umuhimu wowote
Yes wote wawili wana share kwenye kampuni zanguVijana wako wanatengeneza pesa
Tuliozaliwa kwenye familia zenye watoto 5+ na kukulia maisha ya kawaida ndo tunayaelewa haya mkuu.Ongezea tamati ni kupata pesa na kuendesha maisha bila kujali umefika chuo gani mkuu!!
Kama kweli unakampun alafu saizi wanajua kiswahili,hesab, kingereza kuongea,kusoma na kuandika waachishe shule waweke watengeneze tu pesa au wasomeshe kitu chenye manufaa ya maisha yao hapa nalenga kwenye ujuzi wowote kuliko kufuata huu mlolongo wa msingi sekondari hadi chuo huu ni upotevu wa mudaLakini kwa sehemu kubwa unachangiwa na ubahili pia. Miaka hii kuna private primary school nzuri sana ada ya kawaida tu ya milioni moja unusu au milioni lakini kuna jamaa lina kipato ila linaishia kuhonga tu...tezi dume ikikazana miaka ya usoni baba hela hana mtoto hela hana wote wakata ufuta ndo utajua
Yes wote wawili wana share kwenye kampuni za kama
Nataman sana ila kutekeleza ni ngumu wenye mtaala wapo wizarani hawanaga mda.Umeongea kitu sana mkuu nataman hata kwenye vitendo uwe ivo usiwe kama elim yetu tu na wewe kama inavyofundisha mavitu makubwa kama taarifa za vituo vya habari ambazo hazina action