Wazazi mnaowalisha sumu dhidi ya Baba zao, mnajua kuwa baba mzazi ndiye ana kibali cha kumbariki mtoto ili afanikiwe?

Wazazi mnaowalisha sumu dhidi ya Baba zao, mnajua kuwa baba mzazi ndiye ana kibali cha kumbariki mtoto ili afanikiwe?

Mungu niguse

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
272
Reaction score
729
Hata Kama Baba hatoi matumizi yoyote Ila usijaribu kumlisha mtoto wako sumu kuhusu ubaya wa Baba yake.

Watoto wote waliokataliwa na Baba zao ni 2% ndo utawakuta wamefanikiwa maisha.

Hakikisha mtoto wako anamjua baba yake mzazi ili akambariki usithubutu kumtenganisha mtoto na baba yake mzazi.

Asante.
 
Watu much know (wajuaji) mkiamka najua baadhi yenu mtaleta ujuaji Ila msibishane na universe hata siku moja .

Baba akikukataa na ukawa upo nae katika conflicts fahamu tu mafanikio utakuwa unayasikia nchi jirani

Labda uwe mtu wa black markets
 
Hata Kama Baba hatoi matumizi yoyote Ila usijaribu kumlisha mtoto wako sumu kuhusu ubaya wa Baba yake .


Watoto wote waliokataliwa na Baba zao ni 2% ndo utawakuta wamefanikiwa maisha .


Hakikisha mtoto wako anamjua baba yake mzazi ili akambariki usithubutu kumtenganisha mtoto na baba yake mzazi.

Asante.
Upate nafasi ya kukaa siti za mbele peponi!
 
Hata Kama Baba hatoi matumizi yoyote Ila usijaribu kumlisha mtoto wako sumu kuhusu ubaya wa Baba yake .


Watoto wote waliokataliwa na Baba zao ni 2% ndo utawakuta wamefanikiwa maisha .


Hakikisha mtoto wako anamjua baba yake mzazi ili akambariki usithubutu kumtenganisha mtoto na baba yake mzazi.

Asante.
Wako sahihi kama li baba lenyewe la hovyo hovyo!
 
hakuna baba ambaye hamuhudumii mtoto wake, huyo ni mpumbavu na hufai kuwa baba hata wa panya...

duniani hakuna LAANA wala BARAKA,...hizi imani ni za WAPUMBAVU....

acha kukimbia majukumu yako eti kisa wewe ndo mtoa BARAKA za mafanikio,,.....huo UPUUZI ulitungwa na vizee vipumbavu ili kupata kukubalika kwa ushenzi wao wa kuzaa zaa na kuto kulea watoto wao kwenye jamii......

MAFANIKIO HAYAJI KWA IMANI,....yanakuja kwa VITENDO,....
 
hakuna baba ambaye hamuhudumii mtoto wake, huyo ni mpumbavu na hufai kuwa baba hata wa panya...

duniani hakuna LAANA wala BARAKA,...hizi imani ni za WAPUMBAVU....

acha kukimbia majukumu yako eti kisa wewe ndo mtoa BARAKA za mafanikio,,.....huo UPUUZI ulitungwa na vizee vipumbavu ili kupata kukubalika kwa ushenzi wao wa kuzaa zaa na kuto kulea watoto wao kwenye jamii......

MAFANIKIO HAYAJI KWA IMANI,....yanakujavlwa VITENDO,....
Watu wangapi ni hard worker?
 
Back
Top Bottom