The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
Ndugu zangu wanaJF
Nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja wa kichagga kwa mwaka mmoja sasa,na kama mjuavyo siku zote mahusiano ya watu wazima wawili yanahitimishwa na ndoasasa ishu yenyewe ipo hivi .
Wazazi,ndugu,marafiki kwa asilimia kubwa hakuna anayeniunga mkono katika suala la kumuoa binti huyu,na sababu yao ya msingi ni kwmba ni MCHAGGA.wamejaribu kunieleza kwa mifano hali halisi na tabia za watu wa kabila hili waliowahi kuolewa na ndugu zetu na effects walizozileta kwenye familia zao.
Ukweli ni kwamba yote niliyoelezwa ni sahihi na mifano ninaiona pamoja na matatizo yao kweli yanaonekana kwa mtu yeyote mwenye uelewa mzuri katika kutafuta ushauri nikashauriwa kwamba ni vema nimweleze mwezangu hali halisi na kutowezekana kwa ndoa kuwepokwa manufaa yetu wote yaani mimi nay eye,
Tatizo limekuja katika kuipokea habari yenyewe,dada wa watu kaipokea negatively na anadai namzingua,ukweli ni kwamba mimi sipo tayari kuwa nae kulingana na sababu nilizomweleza ambazo ni za msingi Kabisa,sasa jamani nahitaji ushauri wenu wa dhati jinsi gani niweze kumwelewesha dada huyu ilia aache kulia lia na kuangalia mambo yake mengine hasa shule maana ndo kwanza yupo mwaka wa pili katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini
Nawasilisha wakuu
Nimekuwa kwenye mahusiano na binti mmoja wa kichagga kwa mwaka mmoja sasa,na kama mjuavyo siku zote mahusiano ya watu wazima wawili yanahitimishwa na ndoasasa ishu yenyewe ipo hivi .
Wazazi,ndugu,marafiki kwa asilimia kubwa hakuna anayeniunga mkono katika suala la kumuoa binti huyu,na sababu yao ya msingi ni kwmba ni MCHAGGA.wamejaribu kunieleza kwa mifano hali halisi na tabia za watu wa kabila hili waliowahi kuolewa na ndugu zetu na effects walizozileta kwenye familia zao.
Ukweli ni kwamba yote niliyoelezwa ni sahihi na mifano ninaiona pamoja na matatizo yao kweli yanaonekana kwa mtu yeyote mwenye uelewa mzuri katika kutafuta ushauri nikashauriwa kwamba ni vema nimweleze mwezangu hali halisi na kutowezekana kwa ndoa kuwepokwa manufaa yetu wote yaani mimi nay eye,
Tatizo limekuja katika kuipokea habari yenyewe,dada wa watu kaipokea negatively na anadai namzingua,ukweli ni kwamba mimi sipo tayari kuwa nae kulingana na sababu nilizomweleza ambazo ni za msingi Kabisa,sasa jamani nahitaji ushauri wenu wa dhati jinsi gani niweze kumwelewesha dada huyu ilia aache kulia lia na kuangalia mambo yake mengine hasa shule maana ndo kwanza yupo mwaka wa pili katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini
Nawasilisha wakuu