Well said mestod unakuta kabisa mzazi na akili zake timamu anamwambia mtoto ongoza na wenzio mwende disko toto, sasa wakiwa wanarudi ukutane nao uone wakifanyacho lahaula lakwata utachoka.
Mi kabinti kangu huwa kananiona mkoloni sana, ila naamini katakuja kunishukuru baadae[/QUOTE
Keep it mama, kuna siku atakuja kukushukuru atakapokuja tambua kwamba siyo mfuasi wa Lucifer. I hate Lucifer from the bottom of my heart, kwani ni source ya maovu yote.