Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Wiki iliyopita nilipata fursa ya kukaa na wanangu mkubwa wa kike 11yrs anayemfuata ni wa kiume 6yrs.
Nilitumia fursa hiyo kutaka kujua maoni yao juu ya chanjo dhidi ya Covid19.
Niliwauliza je chanjo ikifika kwetu watachanja?
Huyu wa kiume jibu alilonipa limeniacha hoi alisema "Dad mimi sitachanjwa kwasababu nilishachanjwa nikiwa mdogo" nikamuliza ulichanja sehemu gani akaniambia "huku" akimaanisha kwenye uume wake dah nilicheka sana kwa kweli, nikaendelea kumdadisi walikuchanjaje akasema "walinikata huku"
Ilibidi nitumie nguvu ya ziaada kutoa ufafanuzi nini maana ya kuchanjwa na kutahuriwa!
Tawapeni Elimi sahihi vijana wetu, inaonekana huko shuleni wanapeana elimu wenyewe kwa wenyewe.
Nilitumia fursa hiyo kutaka kujua maoni yao juu ya chanjo dhidi ya Covid19.
Niliwauliza je chanjo ikifika kwetu watachanja?
Huyu wa kiume jibu alilonipa limeniacha hoi alisema "Dad mimi sitachanjwa kwasababu nilishachanjwa nikiwa mdogo" nikamuliza ulichanja sehemu gani akaniambia "huku" akimaanisha kwenye uume wake dah nilicheka sana kwa kweli, nikaendelea kumdadisi walikuchanjaje akasema "walinikata huku"
Ilibidi nitumie nguvu ya ziaada kutoa ufafanuzi nini maana ya kuchanjwa na kutahuriwa!
Tawapeni Elimi sahihi vijana wetu, inaonekana huko shuleni wanapeana elimu wenyewe kwa wenyewe.