Wazazi wa lulu wafungwe iwe fundisho

Wazazi wa lulu wafungwe iwe fundisho

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Kama itabainika lulu yuko under 18 baaasi!
Baada ya kufuatilia masuala ya sheria ya haki za mtoto na wajibu wa wazazi nimeebaini kwamba wazazi wa lulu watakuwa na shitaka la kujibu...mimi kama mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu nitatumia fursa hii kuwaadabisha watanzania wachache walioshindwa kutimiza wajibu wao kisheria na kupoteza nguvu kazi ya taifa. Nasubiri ripoti ya mahakama tu.
Wajiandae kwenda segerea ...hakika naomba watanzania mniunge mkono.........
Wazazi tunaawaachia watoto wetu hovyo... Wanaombaomba, wanajiuza, wanajirusha na wakubwa club, wanakunywa pombe yaani ni kila aina ya uchafu.... Sasa sample imepatikana.
Watanzania kaeni mkao wa kula!!!
Kile kitoto kiko segerea wakati wazazi wanatanua tu...je malezi yao yako wapi? Wizara iko wapi? Nani anawajibu wa kutukumbusha wajibu wetu kama wazazi.... Je nani atuchukulie hatua za kisheria? Mtajua
 
Mwanao ukimshindwa unamfanyaje,utamuua?
 
mwanao ukimshindwa unamfanyaje,utamuua?

nenda pale wizarani kuna wataalam wa saikolojia watamuweka sawa, apply counselling kuna wataalamu kibao.... Sema kingine. Hao wakishindwa peleka vituo vya tototundu, hata segerea kipo ni bure
 
wazo lako ni sawa, hata ushauri zaidi ukihitaji tutakusaidia! Yule mama lakini ni wale wamama wa kihaya wale wanaosifika kwa ishu zao hapa dar!
 
Watakaojibu maswali ni
-Wazazi
-Aliyeforge cheti
 
kama itakuwa hivo basi hata Mh. wa mzee wa masharubu sijui kama atanusurika.
 
asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu
 
kama itabainika lulu yuko under 18 baaasi!
Baada ya kufuatilia masuala ya sheria ya haki za mtoto na wajibu wa wazazi nimeebaini kwamba wazazi wa lulu watakuwa na shitaka la kujibu...mimi kama mtanzania mwenye uchungu na nchi yangu nitatumia fursa hii kuwaadabisha watanzania wachache walioshindwa kutimiza wajibu wao kisheria na kupoteza nguvu kazi ya taifa. Nasubiri ripoti ya mahakama tu.
Wajiandae kwenda segerea ...hakika naomba watanzania mniunge mkono.........
Wazazi tunaawaachia watoto wetu hovyo... Wanaombaomba, wanajiuza, wanajirusha na wakubwa club, wanakunywa pombe yaani ni kila aina ya uchafu.... Sasa sample imepatikana.
Watanzania kaeni mkao wa kula!!!
Kile kitoto kiko segerea wakati wazazi wanatanua tu...je malezi yao yako wapi? Wizara iko wapi? Nani anawajibu wa kutukumbusha wajibu wetu kama wazazi.... Je nani atuchukulie hatua za kisheria? Mtajua

msaada wa kisheria tafadhali!!!
 
Back
Top Bottom