Naona kuachana kwa wazazi wako kumekufanya u-panick na uone kama mapenzi ni kitu so complicated,
Tushirikiane kumshauri mtu huyu jamani:
Naomba ndugu muniombee niko kwenye majaribu makubwa hadi inafika wakati najisikia sina hata nguvu ya kuomba. Mara kwa mara huwa najiuliza kama kweli Mungu yuko karibu nami. Lakini naamini siku moja Mungu atanikumbuka.
Cha kwanza naomba muniombee, wazazi wangu wanataka ku-divorce, yaani baba yangu alishatuacha nyumbani mimi na wadogo zangu na mama yangu. Sasa wazazi hawasikilizani na wanataka ku-divorce. Mimi nimejaribu kuwaombea muda mrefu na kuwashauri lakini hawanisikii, nami kwa hivyo nimeshachoka na sijui nifanye nini.
Kingine mnaonaje nikiwashauri wazazi wangu kuachana, kweli nitakuwa nimefanya dhambi? Sijui cha kufanya, lakini neno la Mungu linasema kama kilichounganishwa na Mungu mwanadamu asikitenganishe. Naomba mnisaidie hapo!
Cha tatu naomba mnisaidie kuomba ili nipate mume mwema kutoka kwa Mungu kwa sababu mara nyingi naogopaga nasema labda sitakuja kuolewa. Sababu ni kuwa mambo ninayoyaona kwa wazazi wangu yananiogopesha sana hadi nakata tamaa, najiuliza hivi nikipata mume ambaye hatusikilizani hali itakuwa ya namna gani?.
Jamani nawaombeni mnisadie sana kwa maombi na ushauri.
Naitwa -------------- na nina miaka 25.
Mungu awabariki sana!
pga goti ndugu
Wengi tumepitia kwa hayo maisha.. Hakuna anayependa..kuona wazazi wakigombana ..lakini hakuna jinsi kwani wao ni wanadamu....
Ushauri wangu.. Uchukua worse scenario (yaani wazazi wanaachana) na uifanyie kazi..Yaani nyinyi watoto mtayumba vipi kiuchumi, masomo etc.. (hasa kama binafsi bado hujaanza kujitegemea) Washirikishe wakubwa na kuhakikisha mnapata haki zenu kama watoto ..hasa matunzo..
Siri ya mafanikio yako 1. "usijihusishe kabisa wala kushiriki ugomvi wa wazazi".. 2. Kwa sababu wewe ni binti..kumbuka wanaume wote sio kama yule usiyempenda.
Tushirikiane kumshauri mtu huyu jamani:
Naomba ndugu muniombee niko kwenye majaribu makubwa hadi inafika wakati najisikia sina hata nguvu ya kuomba. Mara kwa mara huwa najiuliza kama kweli Mungu yuko karibu nami. Lakini naamini siku moja Mungu atanikumbuka.
Cha kwanza naomba muniombee, wazazi wangu wanataka ku-divorce, yaani baba yangu alishatuacha nyumbani mimi na wadogo zangu na mama yangu. Sasa wazazi hawasikilizani na wanataka ku-divorce. Mimi nimejaribu kuwaombea muda mrefu na kuwashauri lakini hawanisikii, nami kwa hivyo nimeshachoka na sijui nifanye nini.
Kingine mnaonaje nikiwashauri wazazi wangu kuachana, kweli nitakuwa nimefanya dhambi? Sijui cha kufanya, lakini neno la Mungu linasema kama kilichounganishwa na Mungu mwanadamu asikitenganishe. Naomba mnisaidie hapo!
Cha tatu naomba mnisaidie kuomba ili nipate mume mwema kutoka kwa Mungu kwa sababu mara nyingi naogopaga nasema labda sitakuja kuolewa. Sababu ni kuwa mambo ninayoyaona kwa wazazi wangu yananiogopesha sana hadi nakata tamaa, najiuliza hivi nikipata mume ambaye hatusikilizani hali itakuwa ya namna gani?.
Jamani nawaombeni mnisadie sana kwa maombi na ushauri.
Naitwa -------------- na nina miaka 25.
Mungu awabariki sana!
natafuta mke coz Ester sidhani kama ntampata tena nimeshatoa history yake hapo naomba nijue vitu vifuatavyoTushirikiane kumshauri mtu huyu jamani:
Naomba ndugu muniombee niko kwenye majaribu makubwa hadi inafika wakati najisikia sina hata nguvu ya kuomba. Mara kwa mara huwa najiuliza kama kweli Mungu yuko karibu nami. Lakini naamini siku moja Mungu atanikumbuka.
Cha kwanza naomba muniombee, wazazi wangu wanataka ku-divorce, yaani baba yangu alishatuacha nyumbani mimi na wadogo zangu na mama yangu. Sasa wazazi hawasikilizani na wanataka ku-divorce. Mimi nimejaribu kuwaombea muda mrefu na kuwashauri lakini hawanisikii, nami kwa hivyo nimeshachoka na sijui nifanye nini.
Kingine mnaonaje nikiwashauri wazazi wangu kuachana, kweli nitakuwa nimefanya dhambi? Sijui cha kufanya, lakini neno la Mungu linasema kama kilichounganishwa na Mungu mwanadamu asikitenganishe. Naomba mnisaidie hapo!
Cha tatu naomba mnisaidie kuomba ili nipate mume mwema kutoka kwa Mungu kwa sababu mara nyingi naogopaga nasema labda sitakuja kuolewa. Sababu ni kuwa mambo ninayoyaona kwa wazazi wangu yananiogopesha sana hadi nakata tamaa, najiuliza hivi nikipata mume ambaye hatusikilizani hali itakuwa ya namna gani?.
Jamani nawaombeni mnisadie sana kwa maombi na ushauri.
Naitwa -------------- na nina miaka 25.
Mungu awabariki sana!
pole sana ila wacha kabsa kuwaingilia kwa ushauri cha kufanya waombee kwa Mungu kwa mujibu wa imani yako ikiwezekana funga kabsa kwa sala na maombi
npe mawasiliano yako hata mm natafuta mchumba mwema coz mm mwenyewe najiamini ni mwema
ww ni dini gani?kabila ,elimu yako,kabila sichagui coz kila mtu na tabia yake,samahani kama ni mfupi coz naona huwa ni wabishi sna bila sababu za msingi,sitani kabsa kwa hili,
Jitahidi uwe kiungo kipatanishi kati ya baba na mama. Piga magoti ukasali, ikiwezeka ufunge kwa ajili ya hilo.