Wazee Bar Ya Ambiance Sinza Imerudi.

Oya we jamaa..kuanzia ijuma hadi jpl tuko pale..mapema sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanaruhusu bangi au wamebadilisha siku izi
 
Enzi zangu nafanya ujana kwa sana lilikuwa chimbo langu saafi kabisa.
 
Daah umenikumbisha mara ya mwisho kukaa apo nilikuwa nacheck game la UEfa fainal Madrid vs Liverpool alaf ilikuwa mwezi wa ramadhan naona mifugo inaingia mawindoni na hijab then inavua inabaki half naked. Kulikuwa na nyepe mmoja bubu kanona kama mbuzi wa kafara kila muhuni anamtaka ye.
 
Krbu tena ila tabia ya kula kavu kavu Uache utapata ma Hpv na Hepatitis utakuf mapema.
Na ile tabia yako ya kupenda Mtandao Pendwa Uache haraka sana...
 
Krbu tena ila tabia ya kula kavu kavu Uache utapata ma Hpv na Hepatitis utakuf mapema.
Na ile tabia yako ya kupenda Mtandao Pendwa Uache haraka sana...
Ahaa mzee baba me sinaga hzo mambo kwanza ya kula kichongeo sijawah na sifikirii kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…