Wazee hebu tupeane yaliyojiri katika mahusiano yenu

mseng.e sana Yule binti,tulikua na ndogo za kuoana akapata kazi mkoa mwingine kaenda huko wahuni wamemzalisha leo ananililia nimuoe... sifanyi upuuzi mie
Wewe hukuwa na mapenz ya dhat kwa huyo binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…