Eeeeh muraaaah, umeandika kwa sipidi kubwa mbhanemseng.e sana Yule binti,tulikua na ndogo za kuoana akapata kazi mkoa mwingine kaenda huko wahuni wamemzalisha leo ananililia nimuoe... sifanyi upuuzi mie
Hii story umekopi kwa mtualinicheat nikabomoa nyumba(ingawa haikuwa kubwa sana) niliyomjengea na kuuza gari nililompa
Poa poaFuatilia huo uzi upate habari kwa undani zaidi
Ana miaka mingapi ?Tuliachana miaka 6 iliyopita,..tunaelekea kurudiana tena,this time nahis ndoa au mtoto atahusika..ingawa mi nahis bado akil yangu inanambia bado ,nile ujana,ila yeye naona yuko desperate sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kakopi kwenye huo uzi
Anamheshimu kama marehemu.Hata sijui yuko wapi na anafanya nini,na hata sijui if sometimes huwa ananikumbuka.
She is gone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani bado unatak salamu yake ?Sijui hata yuko wapi, niliwahi kuliliwa na yeye nikiwa kwao kwamba simuamini sababu alikuwa akiwasiliana na ex wake nikammaind akatoa chozi na kujazwa sana kuwa mimi ndo mkeo, huniamini sitokusaliti kamwe. Leo hii hata salamu tu haipo
KWANINI MKUU MI SINA UWEZO AU?Hii story umekopi kwa mtu
Jamaa hapo ana hisia za hatariEeeeh muraaaah, umeandika kwa sipidi kubwa mbhane
Poaacha umbea we mbuzi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unamuonea wivu akiwa na jimama ?Ishabaki Story tu na huyu ex mbebezi. Tulipotezeana muda kweli kweli almost 8 yrs of dating badae tukaachana kimya kimya bila kusema chochote, namuona Instagram analelewa na Jimama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha.......Mkuu VIP tena mbona unaita wenzio mbuzi?acha umbea we mbuzi
Hapana, ila nimejaribu tu kwenda sawa na mada husika na kuweka YajayoKwani bado unatak salamu yake ?