Sasa mchawi wa kweli ni huyo aliyeweza kushusha dau kutoka 21 mpaka milioni 1.
Ila njaa mwanaharamu. Hao wazee wachawi wasingekuwa makapuku wangeweza kukaza na kupata milioni 21. Lakini hapo kuonyeshwa mil. 1 wakilinganisha na njaa zao wakachukua fasta.