SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Ni hivi serikali imeweka IVF ni upandikizaji wa mimba.
Sasa kwa wale wazee walioa vigoli na hamuwezi kumpa mwanadada mimba natural way basi unaweza peleka mbegu zako akawekewe mtoto ulee wajukuu.
Hii ni nzuri kwa wazee ambao walitamani sana kupata nembo zao na humu duniani na humu wapo.
wazee sasa mtakuwa na amani yakuwa na familia maana mlikuwa mnawasi wasi na malizenu.
Soma Pia: Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya
Sasa kwa wale wazee walioa vigoli na hamuwezi kumpa mwanadada mimba natural way basi unaweza peleka mbegu zako akawekewe mtoto ulee wajukuu.
Hii ni nzuri kwa wazee ambao walitamani sana kupata nembo zao na humu duniani na humu wapo.
wazee sasa mtakuwa na amani yakuwa na familia maana mlikuwa mnawasi wasi na malizenu.
Soma Pia: Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya