SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Wala haileti mazombi na wewe ndio unatoa mbegu inaenda kwa mayai ya mkeoIsije ikaleta mazombi.
How to get twins through IVF?Ni yapi madhara ya IVF endapo wanandoa wangetamani watungishiwe mapacha?
Afadhari aisee maana mali bila watoto ni kaziNi hivi serikali imeweka IVF ni upandikizaji wa mimba .
Sasa kwa wale wazee walioa vigoli na hamuwezi kumpa mwanadada mimba natural way basi unaweza peleka mbegu zako akawekewe mtoto ulee wajukuu.
Hii ni nzuri kwa wazee ambao walitamani sana kupata nembo zao na humu duniani na humu wapo.
wazee sasa mtakuwa na amani yakuwa na familia maana mlikuwa mnawasi wasi na malizenu .
Nilidhani, kupata mapacha kwa IVF ingekuwa theoretically simpler.How to get twins through IVF?
However, even with one embryo being transferred, there are still chances to become pregnant with identical twins. Some factors that may increase the chance of identical twins after single embryo transfer include using thawed embryos for transfer, using blastocyst embryos, and assisted hatching
Unaitoa iyo mbegu kwa namna gani, unapiga nyeto amaWala haileti mazombi na wewe ndio unatoa mbegu inaenda kwa mayai ya mkeo
Hizo mbegu zinatolewa kwa njia gani.?upasuaji au punye**tWala haileti mazombi na wewe ndio unatoa mbegu inaenda kwa mayai ya mkeo
HApana kuna njia unatolewa na nirahisi nenda hospitali tu watakuambiaH
Hizo mbegu zinatolewa kwa njia gani.?upasuaji au punye**t
UongoSema naskia possibility ya kuzaa watoto wasio na ukamikifu huwa ni kubwa sana hasa katika upande wa ubongo.
Nilitaka tuu kufahamuHApana kuna njia unatolewa na nirahisi nenda hospitali tu watakuambia