Wazee Moshi Hawataki kabisa kusikia chochote juu ya Mbowe

Wazee Moshi Hawataki kabisa kusikia chochote juu ya Mbowe

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nipo Moshi kwa mapumziko ya sikukuu aisee wazee wa Moshi wamegoma kabisa kumuunga mkono Mbowe

Nimejaribu kuanzia home kwa majirani na kila mtu ninayepiga naye story anaonyesha kuuzunishwa na Mbowe !!

Hai kipindi kile kumbe Kuna watu kibao walipoteza Mali zao sababu ya chama sasahivi wanachukizwa na mwelekeo wa chama chini yake.

Chama kumbe kimekuwa kikichangiwa pesa nyingi kutoka huku lakini wanadai hakuna kinachifanyika.

Kama huku hali ipo hivi Moto sijui Kanda zingine hali ipoje

Upepo ni mbaya mbaya Sana kwa Mbowe ndio maana hata Lema bado yupo kimya anapima upepo kwanza!!

Lissu kazua balaa uku
 
Nipo Moshi kwa mapumziko ya sikukuu aisee wazee wa Moshi wamegoma kabisa kumuunga mkono Mbowe

Nimejaribu kuanzia home kwa majirani na kila mtu ninayepiga naye story anaonyesha kuuzunishwa na Mbowe !!

Hai kipindi kile kumbe Kuna watu kibao walipoteza Mali zao sababu ya chama sasahivi wanachukizwa na mwelekeo wa chama chini yake.

Chama kumbe kimekuwa kikichangiwa pesa nyingi kutoka huku lakini wanadai hakuna kinachifanyika.

Kama huku hali ipo hivi Moto sijui Kanda zingine hali ipoje

Upepo ni mbaya mbaya Sana kwa Mbowe ndio maana hata Lema bado yupo kimya anapima upepo kwanza!!

Lissu kazua balaa uku
Wamangi wamedanganywa sana ila hakuna aliedanganywa kama yule Derick Magoma wa Mbulu,Lema alimwingiza chaka haswa aisee.
 
Hao akina Boniyai wanaosema Lissu hana experience sasa swali linakuja ni kwanini mlimpitisha agombee urais wa Jamhuri hii?

Hii hoja inawavua nguo.
 
Hao akina Boniyai wanaosema Lissu hana experience sasa swali linakuja ni kwanini mlimpitisha agombee urais wa Jamhuri hii?

Hii hoja inawavua nguo.
Yule ni tapeli tu Hana jipya kuishi mjini kwa kumtegemea mwanaume mwenzio ni ujinga

Labda anapanuka
 
Ukiona wapenzi kindakidaki wa ccm wana mpigia debe FAM, alafu ghafla tu,jua kimeumana!
 
Nipo Moshi kwa mapumziko ya sikukuu aisee wazee wa Moshi wamegoma kabisa kumuunga mkono Mbowe

Nimejaribu kuanzia home kwa majirani na kila mtu ninayepiga naye story anaonyesha kuuzunishwa na Mbowe !!

Hai kipindi kile kumbe Kuna watu kibao walipoteza Mali zao sababu ya chama sasahivi wanachukizwa na mwelekeo wa chama chini yake.

Chama kumbe kimekuwa kikichangiwa pesa nyingi kutoka huku lakini wanadai hakuna kinachifanyika.

Kama huku hali ipo hivi Moto sijui Kanda zingine hali ipoje

Upepo ni mbaya mbaya Sana kwa Mbowe ndio maana hata Lema bado yupo kimya anapima upepo kwanza!!

Lissu kazua balaa uku
Mimi mwenyewe Niko Marangu hali ni hiyohiyo Mbowe kachokwa na wameumia kuwasaliti sababu wamejitoa sana na pia wanadai anakosanisha kabila na makabila mengine
 
Mbowe alaaniwe, uroho wa madaraka umemfanya awe chizi
 
Back
Top Bottom