Wazee hao wanadhani Raisi hasikilizwi an watendaji wake
Sasa apewe madaraka gani tena zaidi ya haya yanayomshinda? Mtu kama hakusikilizi atakusikiliza kwa madaraka zaidi?
Maana mie nilikuwepo pale Shule ya Chikongora ,watu karibu wote ukijumuhisha na wazee walitaka Rais apunguziwe Madaraka,Tafadhari unapotoa taarifa kama hii utaje eneo na siku ili tuende sambamba ,