Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

hivi inakuaje hiyo gono haimuumizi mwanamke na anaweza asijue kabisa ila mwanaime ni siku mbili tena sometime kina maumivu na usaha unatoka
mwanamke na dushelele,hivyo maumivu yake yapo kwa ndani na usaha huwa unatoka baada ya wiki 4 kwake hivyo huwa anaambukiza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…