Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kamari ya Karatu itapendeza zaidiMnijuze ukitoka, na Mimi mwenyewe nacheki mdogomdogo kwa njia hapa.
Ile ya karata wanacheza junior Jokers.Kamari ya Karatu itapendeza zaidi
Njoo tupige Texam poker holdemIle ya karata wanacheza junior Jokers.
Mimi senior jokeri nacheza casino ya matunda ndani ya dk kumi nafungasha virago
Ile siijui vizuri. Halafu possibility ya kula iko kama 49/51. Kwa hesabu za harakaharaka.Njoo tupige Texam poker holdem
Ndo maisha ya kibongobongoKila mwezi na style yake ya kuulizia mshahara..Watumishi bhana!!
Naunga mkono hojaMnijuze ukitoka, na Mimi mwenyewe nacheki mdogomdogo kwa njia ya sim banking hapa.
Hapo mia naitupia play master nacheza online slots nikipata faida mia mbili itakuwa mia tatu. Nagawa kwa walionipiga vizinga.
Inayobaki ni yangu kwaajili ya home
Naona siku inataka kuisha kienyeji hii.Naunga mkono hoja
Bilabila mpaka sasa dk ya 23Mtanijuza na mimi, nipo nasikilizia
☹Bilabila mpaka sasa dk ya 23
Maisha yangekuwa hivyo raha sana.Mnijuze ukitoka, na Mimi mwenyewe nacheki mdogomdogo kwa njia ya sim banking hapa.
Hapo mia naitupia play master nacheza online slots nikipata faida mia mbili itakuwa mia tatu. Nagawa kwa walionipiga vizinga.
Inayobaki ni yangu kwaajili ya home
Ndivyo yalivyoMaisha yangekuwa hivyo raha sana.
Vipi huko tayari?Sawa....
J3 au j4Mtanijuza na mimi, nipo nasikilizia
Ngoja nicheki.Angalien akaunt zenu nishawajaza mapesa