Wazee vipi mshahara, nataka nicheze kamari ukitoka

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mnijuze ukitoka, na Mimi mwenyewe nacheki mdogomdogo kwa njia ya sim banking hapa.

Hapo mia naitupia play master nacheza online slots nikipata faida mia mbili itakuwa mia tatu. Nagawa kwa walionipiga vizinga.

Inayobaki ni yangu kwaajili ya home
 
Mnijuze ukitoka, na Mimi mwenyewe nacheki mdogomdogo kwa njia ya sim banking hapa.

Hapo mia naitupia play master nacheza online slots nikipata faida mia mbili itakuwa mia tatu. Nagawa kwa walionipiga vizinga.

Inayobaki ni yangu kwaajili ya home
Naunga mkono hoja
 
Mnijuze ukitoka, na Mimi mwenyewe nacheki mdogomdogo kwa njia ya sim banking hapa.

Hapo mia naitupia play master nacheza online slots nikipata faida mia mbili itakuwa mia tatu. Nagawa kwa walionipiga vizinga.

Inayobaki ni yangu kwaajili ya home
Maisha yangekuwa hivyo raha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…