Unastake kimhemko mkuu just stake 10000 odds 2 utanishukuru ujiona blue zimekuwa nyingi kaa pembeni suburi soko liwe fresh zen back. Kwenye aviator ukipanic tu ushapoteza pesa tulia [emoji1][emoji1]Manina Sana.... Kimenila 150k ndani ya dk 15.. nikatembea kwa mguu kutoka USA mpk Moshi...
Hizo ni demo,mpaka kufika odds 24,168 ilichukua muda gani?Hiyo ni ngapView attachment 2890311
Signal gani hizo mkuu embu tuambie maana makofi ni mengi mnoooKuwin aviator ni rahisi kama utazingatia signal mkuu, ila kama una stake stake hovyo ni rahisi kulost pesa zako zote just for 5minutes only , ukiwa unacheza kwa signal na sio kila round mzee utapiga ela [emoji16][emoji16]
Kuna watu wana aviator bot kumbe mkuu ?!Inatokeaaga na mimi naamini ilo kwamba inawezekana ulipiga ml5 kwasababu Kila kitu ni connection mana Kuna watu wana AVIATOR BOT ana predict matokeoo sahih na aki loose malamojamoja saana na pia Mimi nikipata apk ila nilikosa code nahangaikia kuicrack nikifakiwa 2 naamini na mimi umaskinin byebye
Kaka inatwmbeaga mpaka lakimoja mfano Jana iyo ngoja nikuoneshee umeona apo ilitembea mpaka 87,000Aviator itembee mpaka odds 1000? Wadanganye wengine
Hii hua INAENDA kama huja eka mzgo .Hiyo ni ngapView attachment 2890311
2/3, 9/10 maana yake niniKwa uzoefu wangu aviator ni casino nzuri na bora kuliko zote ukiwa na nidhamu nyema huwezi kulost kijingajinga, mara nyingi wanaopoteza ni walimbukeni watamani vya juu zaidiii.
Naweka odds zangu 2 na stake 10000 kuna mida yake kama dakika hizi 2/3 , 9/10 ,6/7, 10/11 na nyingine nyingi. Kama unachocho ongezea nipate ujuzi zaidi
2/3, 9/10 maana yake nini
Ni rahisi tu, ila uwe na tyming ya kucheza , usiwe na tamaa, usiwe mwoga, japo muda mwingine Kuna ujanjaujanja, unaweza ukatolewa bila idhini Yako wakijifanya umechelewa kuingia kwenye mchezo, au wakazima mtandao, wanajifanya mtandao uko slow, ila ni akili, usiwe na tamaa au uwoga, jifunze Kila siku japo hakuna mbinu maalumu,Hivi aviator inachezwaje?
Nimewahi kujaribu karibu mizunguko 30 au zaidi hata sh. Mia sijaambulia.Ni rahisi tu, ila uwe na tyming ya kucheza , usiwe na tamaa, usiwe mwoga, japo muda mwingine Kuna ujanjaujanja, unaweza ukatolewa bila idhini Yako wakijifanya umechelewa kuingia kwenye mchezo, au wakazima mtandao, wanajifanya mtandao uko slow, ila ni akili, usiwe na tamaa au uwoga, jifunze Kila siku japo hakuna mbinu maalumu,
Huenda wewe unataka odds kubwa, Ile ya kuanzia Kumi na kuendelea, odds bet 2, cheza hapo usistake Hela kubwa, kidogo mpaka unamaater mchezo ndy unaanza kustake Hela kubwa, halafu angalia aina za rangi, 2.00 odds Iko kwe rangi ya dhambarau, target rangi ya dhambarauNimewahi kujaribu karibu mizunguko 30 au zaidi hata sh. Mia sijaambulia.
Yaani sielewi
Mi nilipata mpaka 20000 Kwa tsh 1000 tu,Nimewahi kujaribu karibu mizunguko 30 au zaidi hata sh. Mia sijaambulia.
Yaani sielewi
Asante. Tajaribu leo usikuHuenda wewe unataka odds kubwa, Ile ya kuanzia Kumi na kuendelea, odds bet 2, cheza hapo usistake Hela kubwa, kidogo mpaka unamaater mchezo ndy unaanza kustake Hela kubwa, halafu angalia aina za rangi, 2.00 odds Iko kwe rangi ya dhambarau, target rangi ya dhambarau
Aviator itembee mpaka odds 1000? Wadanganye wengine